Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Jamani nisaidieni nina IV ya 27 CIV-F GEO-F KISW-C HIST-F ENG-D MATH-F BIO-C PHY-D CHEM-C nataka niende form five katika shule za private nikasome PCB. Hivi kwa hilo itawezekana
unaweza kufanya pepa kwa sababu moja ya kigezo cha kufanya mtihani wa A-LEVEL ni kuwa na C TATU kwenye masomo yale saba ya msingi na ya mchepuo isipokuwa masomo ya dini .. kwa hiyo basi unaweza kusoma hiyo PCB nakicheki una DCC .. ILA UNAYO C ya kiswahili kama unajiamini unaweza kusoma PCB tafuta shule private tu ujione pole sana kwa matokeo haya..
 
Wakuu kama hukusoma phy na chemia, afu biology una C, daraja ulilopata ni 4 ya 26 unaweza kwenda coz zip za mambo ya afya
 
Wakuu kama hukusoma phy na chemia, afu biology una C, daraja ulilopata ni 4 ya 26 unaweza kwenda coz zip za mambo ya afya

Nursing mkuu....lakini kwa njia za panya sana!!! Huwezi kwenda CO au MATC
 
Kwa Matokeo Haya Advance Private Inawezekana?na Kwa Comb Gani Naombeni Msaada Wenu
hist-c
geo-d
bio-c
kisw-d
eng-c
civ-d
math-f
div 4-26
 
je mwanafunzi aliyepata hivi:
civics-C


English-C


geography-D


biology-C


history-D


kiswahili-D


physics-D


chemistry-D


math-F Anaweza akapata combi gani? ana division 3.25.
 
kuna mdogo wangu anataka kwenda chuo cha mist ila b/math ana f lakini physics na chemisty ana d ina kuaje hapo..?
 
mkuu sizinga! masomo ya sayansi wanachukua total point ngapi?
kuna mdogo wangu kapata div. 3 point 24 na ana B/maths C, Biology C, Civics C, Kiswahili C na the rest ana D
mfano PCM ana DDC, PCB ana DDC, EGM ana DC na PGM ana DDC

mshahara wenyewe wakulenga na manati huu, nijue kabisa kama anaenda private nianze michakato ya kukaba wabunge wakikatiza anga zangu.

egm anaweza chukuliwa both private na government. Akikosa government anaweza kwenda private.
 
Usiwatishie sana kwan mi mdogo wangu alipata 22 kama ifuatavyo
math c
bio d
chem c
kiswa c
civ c
hist d
geo d
agr c
phy d
engl c
Alafu akachaguliwa CBA, Alipofika shule akabadili comb na kuchukua CBG. Hiyo ni Gvt. Huyu alimaliza 4m4 2010 na amemaliza 4m6 mwaka huu.
Intake. Sikuizi masharti yamepungua tofauti na miaka ya 2008 ,kwan ufauru siku hiz umeshuka zaid. Kuna mwingine alipata 25 akiwa ana C moja tu! Kwenye comb nasasa yupo A-level.
Madogo kuweni na subira mtachaguliwa tu.
 
nawasihii msome hii thread kuanzia mwanzo kuna ushauri tumejaribu kutoa kwa wanafunzi wa form mwaka jana 2012 waliomaliza 2011 . kwa hivyo basi someni taratibu unaweza ukaambulia chochote cha kukasaidia najua ni jinsi gani wazazi wanahangiaka sasa...
 
nawasihii msome hii thread kuanzia mwanzo kuna ushauri tumejaribu kutoa kwa wanafunzi wa form mwaka jana 2012 waliomaliza 2011 . kwa hivyo basi someni taratibu unaweza ukaambulia chochote cha kukasaidia najua ni jinsi gani wazazi wanahangiaka sasa...

Hili ndo la msingi kwa kuwa maswali mengi yanajirudia, majawabu tayari yalishatolewa ufafanuzi..
 
Haya matokeo ndiyo hayo yametoka!! Kila kitu hadharani, sasa ukiwa hapa JF ndo mpango nzima!! Manake watu washaanza kuhoji, mi nina hiki au kile nitafanyaje, haya ngoja nitajaribu kuweka mwongozo na alternatively nyingine due to spme perfomances kwa wote, manake naona huku kitaa watu wanadanganyana sana!!

Hii ni kwa kadri ninavyofahamu mimi, kama kuna marekebisho basi yafuatie:

=> Credit Qualification kwa hali ya kawaaida ni 'C'-Na ili uende Form 5 unahitaji uwe na C 3, hapa ni either umebalance Combination(Comb) au hujabalance. Sasa kama una C 3 na comb hujabalance, hautachaguliwa serikalini bali shule binafsi utaenda kusoma mchepuo utakaofanana na masomo yako.
[ Mfano: Civ-C, Kisw-C, Geo-C...unaweza fanya HGK ama HGL ama kozi nyingine hata kama english na History una D].

=>Ukiwa na C 2 na D kadhaa(lets say 4 ya 26), hapa utaweza kwenda Form 5 shule za Private lakini utatakiwa utafute C ya 3 kw kureset wakati upo form 5. Same na C 1 You need to re-sit.

=> Hapa sasa ndipo kwenye utata. Ukiwa na D 3, kiukweli sahau Form 5 kama hauhitaji kurisit, sasa qualification hizi zina option zifuatazo:
1. Unahitaji kupiga long pass kwa kwenda Chuo kwa ngazi ya Certificates. Duraation ya hii kozi ni 1 year Certificate. Sasa hapa kuna vyuo kadhaa vinavyotoa certificates. Hapa ni D za masomo yoyote yale Basic(sina uhakika kama B/Knwoledge na Islam zinazingatiwa na ndio maana nasema D za Basic Subjects)
Mfano: Unaweza kufanya Certicates vyuo vya CBE-Mambo ya Biashara, IFM, TIA, Utumishi wa Umma(Public Service) Vyuo vya Kilimo na Ualimunk.
Nakozi nyingi tu wanatoa kwa certificates..mfano Procurement, Accounts, Public Admistration, Recording, Clearing and Forwarding, Social Development, Secretarial Duties, Education nk.

=> Ukiwa na D 4 upo qualified kufanya ngazi ya certificate kama nilivyoanisha hapo juu.

=> Ukiwa na D 5 sasa hapa wewe umeula!! Hapa unaruhusiwa kabisa kufanya Basic Diploma katika vyuo vyote wanavyotoa Duploma. Kwa mfano vyuo hivyo nilivyovitaja hapa JUU, chukua form yako kwa maringo achana na biashara ya kurisit omba kozi ya diploma, Teana kama una D ya hesabu na English ndo inakuwa rahisi zaidi kuchukuliwa.

=> Kwa wale waliosoma mahesabu kuna vyuo vingine kama DIT(Daar Institute), AIT(Arusha Inst) na Mbeya Tech Msishau kufanya maombi, na kwale waliopiga fresh Biology with minimum of D angalieni option za Nursing ni nzuri sana na katika vyuo vya MATC na COTC.

Kama kuna marekebisho yanakaribishwa na kama hoja ama daubt basi uwanja ndio huu. Most welcome!!

2i9m911.jpg

jidhjp.gif
Mkuu nashukuru sana kwa ufafanuzi wako. Hata hivyo kwa kuwa umetoa nafasi ya kujazia sehemu ambayo labda inamabadiliko yafuatie,nafikiri nijikite kwenye mambo mawili
1:Mkuu kwa ufahamu wangu,hairuhusiwi tena mtu kuendelea na 4m 5 na wakati huohuo akiwa anarisit. Hii ni kwasababu ili ufanye mtihani wa kidato cha sita lazima uwe umekaa darasani miaka miwili toka umalize kidato cha nne,hivyo basi ukijiunga na 4m 5 huku unarisit hiyo miaka miwili haitatimia.
2:Hairuhusiwi tena kuunga unga vyeti,mfano mtu alikuwa na c mbili then arisit ili apate moja aunganishe na zile mbili za mwanzo,swala hilo haliwezekani tena. Hii ni kwa sababu ili mtahiniwa aruhusiwe kufanya mtihani kidato cha sita lazima awe amepata angalau crediti 3 O-level kutoka kwenye kikao kimoja ( ie 3 credits in o-level at the same sitting). Hii inamaanisha mtu akiamua kurisit anayakana matokeo yake na anatafuta mengine,na kwa mfano kama mtu alikuwa na c mbili na zilizobaki ni D halafu akarist assume akapata tena C mbili na D nne labda na F moja,hawezi kuanga hayo matokea akadai eti ana C nne kwasababu zimepatikana kwenye vikao tofauti(miaka tofauti). Hata hivyo lazima nikiri kwamba taratibu za kuunga vyeti zilikuwa zinatumika hapo nyuma lakini kwa ufahamu wangu ni kwamba kwa sasa zimefutwa. Kwahiyo kama mtu ana C mbli hawezi kwenda form 5, na akiamua kurisit ajue ni kama anaanza kazi upia. So kama kuna mtu hali hii inamgusa aangalie hayo mambo.
 
Mkuu nashukuru sana kwa ufafanuzi wako. Hata hivyo kwa kuwa umetoa nafasi ya kujazia sehemu ambayo labda inamabadiliko yafuatie,nafikiri nijikite kwenye mambo mawili
1:Mkuu kwa ufahamu wangu,hairuhusiwi tena mtu kuendelea na 4m 5 na wakati huohuo akiwa anarisit. Hii ni kwasababu ili ufanye mtihani wa kidato cha sita lazima uwe umekaa darasani miaka miwili toka umalize kidato cha nne,hivyo basi ukijiunga na 4m 5 huku unarisit hiyo miaka miwili haitatimia.
2:Hairuhusiwi tena kuunga unga vyeti,mfano mtu alikuwa na c mbili then arisit ili apate moja aunganishe na zile mbili za mwanzo,swala hilo haliwezekani tena. Hii ni kwa sababu ili mtahiniwa aruhusiwe kufanya mtihani kidato cha sita lazima awe amepata angalau crediti 3 O-level kutoka kwenye kikao kimoja ( ie 3 credits in o-level at the same sitting). Hii inamaanisha mtu akiamua kurisit anayakana matokeo yake na anatafuta mengine,na kwa mfano kama mtu alikuwa na c mbili na zilizobaki ni D halafu akarist assume akapata tena C mbili na D nne labda na F moja,hawezi kuanga hayo matokea akadai eti ana C nne kwasababu zimepatikana kwenye vikao tofauti(miaka tofauti). Hata hivyo lazima nikiri kwamba taratibu za kuunga vyeti zilikuwa zinatumika hapo nyuma lakini kwa ufahamu wangu ni kwamba kwa sasa zimefutwa. Kwahiyo kama mtu ana C mbli hawezi kwenda form 5, na akiamua kurisit ajue ni kama anaanza kazi upia. So kama kuna mtu hali hii inamgusa aangalie hayo mambo.

na vp kuhusu vp kuhusu open university nina c ya math D nne na f ya eng na histry
 
je mwanafunzi aliyepata hivi:
civics-C


English-C


geography-D


biology-C


history-D


kiswahili-D


physics-D


chemistry-D


math-F Anaweza akapata combi gani? ana division 3.25.
combi yoyote ya arts unaenda, kama HGL, HKL, HGK
 
Mkuu nashukuru sana kwa ufafanuzi wako. Hata hivyo kwa kuwa umetoa nafasi ya kujazia sehemu ambayo labda inamabadiliko yafuatie,nafikiri nijikite kwenye mambo mawili
1:Mkuu kwa ufahamu wangu,hairuhusiwi tena mtu kuendelea na 4m 5 na wakati huohuo akiwa anarisit. Hii ni kwasababu ili ufanye mtihani wa kidato cha sita lazima uwe umekaa darasani miaka miwili toka umalize kidato cha nne,hivyo basi ukijiunga na 4m 5 huku unarisit hiyo miaka miwili haitatimia.
2:Hairuhusiwi tena kuunga unga vyeti,mfano mtu alikuwa na c mbili then arisit ili apate moja aunganishe na zile mbili za mwanzo,swala hilo haliwezekani tena. Hii ni kwa sababu ili mtahiniwa aruhusiwe kufanya mtihani kidato cha sita lazima awe amepata angalau crediti 3 O-level kutoka kwenye kikao kimoja ( ie 3 credits in o-level at the same sitting). Hii inamaanisha mtu akiamua kurisit anayakana matokeo yake na anatafuta mengine,na kwa mfano kama mtu alikuwa na c mbili na zilizobaki ni D halafu akarist assume akapata tena C mbili na D nne labda na F moja,hawezi kuanga hayo matokea akadai eti ana C nne kwasababu zimepatikana kwenye vikao tofauti(miaka tofauti). Hata hivyo lazima nikiri kwamba taratibu za kuunga vyeti zilikuwa zinatumika hapo nyuma lakini kwa ufahamu wangu ni kwamba kwa sasa zimefutwa. Kwahiyo kama mtu ana C mbli hawezi kwenda form 5, na akiamua kurisit ajue ni kama anaanza kazi upia. So kama kuna mtu hali hii inamgusa aangalie hayo mambo.

Hii muhimu sana, ni mabadiliko yaliyofanyika wizarani...ngoja ni-update hayo maelezo yako:
 
na vp kuhusu vp kuhusu open university nina c ya math D nne na f ya eng na histry

Sina details sana za OU ila nadhani pre-entry qualification hazina tofauti na University zingine
 
Kwahiyo performance ina maana una point 9(B=2 C=3 D=4) sasa huwa hizi course zina cut off point(mara nyingi inakuwa 7) ila kwa ufaulu wa mwaka huu ulivyo mbovu cut off inaweza kupunguzwa ikawa 9 au 10, iina maana kuna uwezekano mkubwa wa wewe kuchaguliwa kwa PCB(I stand to b correct)!!
Wala hata usiwe hata na hofu kwani msingi wa PCB ni Biology na Chemistry ambazo wewe umefanya vizuri mno!!
Kwa hiyo wewe omba utachukuliwa ingawa mlishajaza kwa form zile kaba ya mtihani.

Sikushauri sana uende CBG kwani ingawa nayo ina wide opportunity like Chemical processing, na hata engineering pengine unaweza fanya!! Sina details zake sana!!

sawasawa mkubwa kwani umenifumbua ila naomba wale wanaofahamu uwanja wa PCB na CBG kwani ndoto zangu ni kuwa daktari ....msaada tafadhari...
 
Nimeenda TIA kuulizia kuhusu diploma maana mdogo wangu ana D na C mbili za english na History ila wamesema hawezi kusoma diploma ni hadi aanze kusoma certificate.naomba ushauri hapo.
 
Nimeenda TIA kuulizia kuhusu diploma maana mdogo wangu ana D na C mbili za english na History ila wamesema hawezi kusoma diploma ni hadi aanze kusoma certificate.naomba ushauri hapo.

Aende huko miaka 3 ndo utaratibu huo mkuu...huwa unaanza cert mwaka 1 halafu akifanya vizuri ataendelea na Diploma 1 na mwaka wa mwisho Dipl 2, akija mjini anakula shavu swafi!!! Nakushauri kamwandikishe TIA-Mtwara, Singida au Dar
 
Back
Top Bottom