Forex vs Betting

Forex vs Betting

Je forex ni sawa na betting?


  • Total voters
    26
  • Poll closed .
Ulitaka miaka isimame mkuu ili iweje kila kitu lazima kitake time. Ukiona wewe huwezi sio sheria kwa wengine kuwa hawawezi,
Kama kilikushinda unakaa pemben kimyaa kimya sio kuharss wengine utadhani ndo unajua sannaaa kumbe tikiti tu
maneno yangu sio sheria, ukiona una akili zaidi we fanya
 
We mshikaji unazingua ujue kwenye hii betting ya forex kuna kitu kinaitwa EDGE .
Hapa kwenye EDGE Ndo msingi wa kupata hela unapatikana kwasababu iko hivi umefanya trades let's say 50 tu .
Kati ya hizo 50 umekosa trades 30 na kila trade moja uliyokosa you get constant lose ya 10$. 10×30=300.
Na katika hizo trade 50 unapata trade 20 tu na kwa kila trade ukipata unaenda ratio ya 1:3 kwa maana 10:30
Kwahiyo trade ikienda poa unapata constant profit 30$ sasa hapa inakua
20×30$=600$
Ukichukua jumla ya trade 30ulizokosa ni 300$loss na trade 20 ulizopata umegain 600$
Fanya kutoa hapo 600$ profit -300$loss= unabaki 300$ Kama net profit kwenye jumla ya trade hamsini ulizochukua kwahiyo shida hapo ni kutafuta EDGE yako ndo mziki upo hapo na psychology kuapply hiyo edge kikamilifu
Ulichokisema hapa very true. Pia, ukitumia Fibonacci Sequence kwenye Aviator, unafanya same thing. The biggest advantage ya Aviator, round moja inachukua less than 60 seconds yaani dk. 1.

Meaning ukitumia formula za Forex kwenye Aviator utapiga hela zaidi
 
acha kujielezea sana, kama unajali mda kwenye maisha yako chukua ushauri
Shida yako ww ambacho hukiwezi basi unahisi hakiwezekani tena kwa mtu mwingine yoyote yule hakuna unachojua kuhusu price betting kwenye hizi currency maarufu kama forex trading . Nakueleza tena unapokuwa umepata edge unageuka kuwa ww ndo Casino (always house wini) katika trade mia ukilose trade trade 60 na kupata trade 40 bado utakua profitable kama psychology yako iko sawasawa .
Huku hatujali kuwa right all the time when we place trade bali tunataka kuwa na deep consistency ya kuexcute trade according to you edge bila kubadilisha badilisha.
ila nasisittiza it takes time na focus kubwa kuliko unavyodhani kufanya mpka mambo yaanze kwenda kiurahisi
 
Ulichokisema hapa very true. Pia, ukitumia Fibonacci Sequence kwenye Aviator, unafanya same thing. The biggest advantage ya Aviator, round moja inachukua less than 60 seconds yaani dk. 1.

Meaning ukitumia formula za Forex kwenye Aviator utapiga hela zaidi
Shida ya aviator ni moja tu haina viashiria kuwa kwa jins hivi kinavooneka basi ishara hii itatambulisha possibility fulani kwahiyo sijui labda lakini.aviator haina Edge na psychology
 
Shida yako ww ambacho hukiwezi basi unahisi hakiwezekani tena kwa mtu mwingine yoyote yule hakuna unachojua kuhusu price betting kwenye hizi currency maarufu kama forex trading . Nakueleza tena unapokuwa umepata edge unageuka kuwa ww ndo Casino (always house wini) katika trade mia ukilose trade trade 60 na kupata trade 40 bado utakua profitable kama psychology yako iko sawasawa .
Huku hatujali kuwa right all the time when we place trade bali tunataka kuwa na deep consistency ya kuexcute trade according to you edge bila kubadilisha badilisha.
ila nasisittiza it takes time na focus kubwa kuliko unavyodhani kufanya mpka mambo yaanze kwenda kiurahisi
🤣 🤣 🤣 all the best! you will learn the hard way
 
Shida yako ww ambacho hukiwezi basi unahisi hakiwezekani tena kwa mtu mwingine yoyote yule hakuna unachojua kuhusu price betting kwenye hizi currency maarufu kama forex trading . Nakueleza tena unapokuwa umepata edge unageuka kuwa ww ndo Casino (always house wini) katika trade mia ukilose trade trade 60 na kupata trade 40 bado utakua profitable kama psychology yako iko sawasawa .
Huku hatujali kuwa right all the time when we place trade bali tunataka kuwa na deep consistency ya kuexcute trade according to you edge bila kubadilisha badilisha.
ila nasisittiza it takes time na focus kubwa kuliko unavyodhani kufanya mpka mambo yaanze kwenda kiurahisi
Mwambie awape vijana ajira kama ana biashara ambayo ni 100% uhakika anapata revenue ni mpiga kelele huyo..
 
Wew ni mpingaji una unafahamu kuhusu financial engineering nenda kalale tu..
tatizo unaongea pumba alafu uko proud, yaani wewe unabishana na mpaka mtu aliesomea icho kitu, yaani wewe ni mjinga alafu uko proud na ujinga wako 🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20250509-210404.png
    Screenshot_20250509-210404.png
    129.5 KB · Views: 13
Mwambie awape vijana ajira kama ana biashara ambayo ni 100% uhakika anapata revenue ni mpiga kelele huyo..
Huyu mshamba tu kitu ambacho anaona hakiwezi basi anahisi kila mtu hawezi kufanya ukimwambia huku ni mwendo wa PROBALITY TU haelewi yeye anataka matokeo ya 100% ambayo hayapo na hayaji kutokea, atoe ushamba wake hapa.
 
Huyu mshamba tu kitu ambacho anaona hakiwezi basi anahisi kila mtu hawezi kufanya ukimwambia huku ni mwendo wa PROBALITY TU haelewi yeye anataka matokeo ya 100% ambayo hayapo na hayaji kutokea, atoe ushamba wake hapa.
😀😀😀
 
Huyu mshamba tu kitu ambacho anaona hakiwezi basi anahisi kila mtu hawezi kufanya ukimwambia huku ni mwendo wa PROBALITY TU haelewi yeye anataka matokeo ya 100% ambayo hayapo na hayaji kutokea, atoe ushamba wake hapa.
1746826085418.png


🤣 🤣 🤣
 
Huyu mshamba tu kitu ambacho anaona hakiwezi basi anahisi kila mtu hawezi kufanya ukimwambia huku ni mwendo wa PROBALITY TU haelewi yeye anataka matokeo ya 100% ambayo hayapo na hayaji kutokea, atoe ushamba wake hapa.
nikusanue tu, ukishaona tu unadeal na MT4 we jua ni zumbukuku, kwa lugha nyepesi huna uelewa kinachoendelea duniani ni nn

1746826311343.png
1746826363056.png

1746826398091.png


mkishafunguaga izo kendo sticks mnaona kama mnaielewa dunia kuliko watu wote 🤣 🤣 , kumbe tunawachora tu tunajua kabisa hii mingombe tutaipeleka tunavotaka! ukikaa kidogo edge, kidogo tena emotions inshort tunpenda mnavopata tabu mpaka pale akili zitakapowakaa vizuri
 
Back
Top Bottom