Bado wew vip ushakua tajir ktk career yako uajir vijana wajinga kama sisisio kama wewe, unaonekana unajua trading zaidi kiasi kwamba wengine wote wanaongea pumba wewe ndo una akili tu peke yako, vp hio edge hujaipata tu mpaka leo uwe tajiri?
Bado wew vip ushakua tajir ktk career yako uajir vijana wajinga kama sisisio kama wewe, unaonekana unajua trading zaidi kiasi kwamba wengine wote wanaongea pumba wewe ndo una akili tu peke yako, vp hio edge hujaipata tu mpaka leo uwe tajiri?
Wew kingereza ujui kwaniinikusanue tu, ukishaona tu unadeal na MT4 we jua ni zumbukuku, kwa lugha nyepesi huna uelewa kinachoendelea duniani ni nn
View attachment 3329245View attachment 3329246
View attachment 3329248
mkishafunguaga izo kendo sticks mnaona kama mnaielewa dunia kuliko watu wote 🤣 🤣 , kumbe tunawachora tu tunajua kabisa hii mingombe tutaipeleka tunavotaka! ukikaa kidogo edge, kidogo tena emotions inshort tunpenda mnavopata tabu mpaka pale akili zitakapowakaa vizuri
Haha ila unafurahisha mkuu unajua kukaza fuvu
Ndo utulie sasa we kinakuwasha nini kama kuna tabu tunaipata just mind you're own business kuliko kuwadacourage wanaopambana kivyao haijalishi wana access na market halisi or not .funga domo lakonikusanue tu, ukishaona tu unadeal na MT4 we jua ni zumbukuku, kwa lugha nyepesi huna uelewa kinachoendelea duniani ni nn
View attachment 3329245View attachment 3329246
View attachment 3329248
mkishafunguaga izo kendo sticks mnaona kama mnaielewa dunia kuliko watu wote 🤣 🤣 , kumbe tunawachora tu tunajua kabisa hii mingombe tutaipeleka tunavotaka! ukikaa kidogo edge, kidogo tena emotions inshort tunpenda mnavopata tabu mpaka pale akili zitakapoewakaa vizuri
we jamaa unaona kama unaongea na mtoto mwenzako, ninyamaze ili muafundishe tuition 🤣Ndo utulie sasa we kinakuwasha nini kama kuna tabu tunaipata just mind you're own business kuliko kuwadacourage wanaopambana kivyao haijalishi wana access na market halisi or not .funga domo lako
kaza fuvu wap, msipodhibitiwa mnaishia kuwachangisha watu ela for nothingHaha ila unafurahisha mkuu unajua kukaza fuvu
we ushawahi kuona ofisi inaajiri vijana wajingaBado wew vip ushakua tajir ktk career yako uajir vijana wajinga kama sisi
Na kweli unyamaze maana akili yako imelemaa kuwa vitu vinatakiwa viwe vinafanyika 100% ili kufanikiwa kitu ambacho hakipo unaweza kufanya vitu kwa 30% only na ukabutua kwahiyo nyamaza mazima uache kuropokakaza fuvu wap, msipodhibitiwa mnaishia kuwachangisha watu ela for nothing
Hao wanaochangisha ndo gemu wameliona tafu kuzid uwezo wao wa kuhimili kwahiyo wanataka wapate kwa njia nyingine kwa kifupi ni wahunikaza fuvu wap, msipodhibitiwa mnaishia kuwachangisha watu ela for nothing
kaza fuvu wap, msipodhibitiwa mnaishia kuwachangisha watu ela for nothing
hhhee wakijaga uku kelele nyingi, risk reward 🤣 🤣 🤣 wanatuona kama sisi mangombe vile, sasa jamaa anasema nikae kimya tenaHao wanaochangisha ndo gemu wameliona tafu kuzid uwezo wao wa kuhimili kwahiyo wanataka wapate kwa njia nyingine kwa kifupi ni wahuni
fanya kazi halali acha utapelNa kweli unyamaze maana akili yako imelemaa kuwa vitu vinatakiwa viwe vinafanyika 100% ili kufanikiwa kitu ambacho hakipo unaweza kufanya vitu kwa 30% only na ukabutua kwahiyo nyamaza mazima uache kuropoka
Ungekua hata una vijana 20 unawalipa pesa nzur per month kidogo ungepata akiliifanya kazi halali acha utape
😀😀we ushawahi kuona ofisi inaajiri vijana wajinga
Wew ni employed tu ndo mana unapiga kelele tu na ujawahi kufanya lolote lenye risk kama ulifanya ulipigwa za uso ukakimbiaa 😀😀 ulidhani game nyepesiiwe ushawahi kuona ofisi inaajiri vijana wajinga
Hata betting ni mahesabu almost kila kitu hesabu dunian most ni lazy kama stakehigh 😀😀😀Forex ni biashara ambayo kama haujui unachokifanya basi haina tofauti na betting.
Betting haina 'stop loss'! Ni either unapata chote au unapoteza chote.Hata betting ni mahesabu almost kila kitu hesabu dunian most ni lazy kama stakehigh 😀😀😀
unapo bet unakua unajua wachezaji na ofcourse timu zinazoshinda na kuchukua ubingwa znaeleweka, ila forex unafanya kitu ambcho hukijui na hukielewi but you want people to think unajuaHata betting ni mahesabu almost kila kitu hesabu dunian most ni lazy kama stakehigh 😀😀😀
fanya kazi acha pumbaWew ni employed tu ndo mana unapiga kelele tu na ujawahi kufanya lolote lenye risk kama ulifanya ulipigwa za uso ukakimbiaa 😀😀 ulidhani game nyepesii