Forex vs Betting

Forex vs Betting

Je forex ni sawa na betting?


  • Total voters
    26
  • Poll closed .
Forex ni biashara ambayo kama haujui unachokifanya basi haina tofauti na betting.

Lakini pia ukiwa na tamaa, ukikosa nidhamu na utulivu, hata kama unajua unachokifanya basi unaishia kuwa kama wanao beti tu.
bila shaka wewe mpaka sasa unajua unachkifanya na una hela mbaya
 
bila shaka wewe mpaka sasa unajua unachkifanya na una hela mbaya
Kwenye forex hakuna 'hela mbaya', atakaye kwambia hivyo anakudanganya. Ukiona faida yako kwa mwezi inazidi 5% basi wewe una vi element vya wacheza kamari. Una bet haufanyi baishara. Na mwisho wake ni majanga.
 
Kwenye forex hakuna 'hela mbaya', atakaye kwambia hivyo anakudanganya. Ukiona faida yako kwa mwezi inazidi 5% basi wewe una vi element vya wacheza kamari. Una bet haufanyi baishara. Na mwisho wake ni majanga.
forex ni kamari yenyewe kama yenyewe, however its more useless kwa sababu huelewi unaeabttle nae, mfano nkienda pale sport pesa nkasema simba anashinda ama anachukua ubingwa chances ni kubwa kufanikiwa than kusema gold will go up or down
 
Kwenye forex hakuna 'hela mbaya', atakaye kwambia hivyo anakudanganya. Ukiona faida yako kwa mwezi inazidi 5% basi wewe una vi element vya wacheza kamari. Una bet haufanyi baishara. Na mwisho wake ni majanga.
ukiweza kutengeneza ata 1% kila mwezi mfululizo kila mtu duniani anakutafuta yaani akitoka einsten unafuata wewe
 
ukiweza kutengeneza ata 1% kila mwezi mfululizo kila mtu duniani anakutafuta yaani akitoka einsten unafuata wewe
Ndugu yangu, hata UTT ambako unaweka tu fedha zako na hauhitaji kufanya chochote unaipata hiyo 1% kwa mwezi.

Forex ni biashara, ila ukitaka kufanya kama betting inakuruhusu na utapigwa kwelikweli.
 
Ndugu yangu, hata UTT ambako unaweka tu fedha zako na hauhitaji kufanya chochote unaipata hiyo 1% kwa mwezi.

Forex ni biashara, ila ukitaka kufanya kama betting inakuruhusu na utapigwa kwelikweli.
UTT, bonds unaweza kupata 10% kwa sababu ni biashara halisi, you dont need kuwaza leo ama kesho itakua wap, hio ni LEGIT BIZNEZ ila forex sio biashara ni kamari,
forex sio biashara ni kamari
 
unapo bet unakua unajua wachezaji na ofcourse timu zinazoshinda na kuchukua ubingwa znaeleweka, ila forex unafanya kitu ambcho hukijui na hukielewi but you want people to think unajua
Wew unajua betting wenzak wanajua forex
 
Ndugu yangu, hata UTT ambako unaweka tu fedha zako na hauhitaji kufanya chochote unaipata hiyo 1% kwa mwezi.

Forex ni biashara, ila ukitaka kufanya kama betting inakuruhusu na utapigwa kwelikweli.
Yes kuna mwamba hapa mbishii ajui kuhusu fx hafu kasoma na uchumi chuo 😁😁😁
 
UTT, bonds unaweza kupata 10% kwa sababu ni biashara halisi, you dont need kuwaza leo ama kesho itakua wap, hio ni LEGIT BIZNEZ ila forex sio biashara ni kamari,
forex sio biashara ni kamari
Hata fx unapata 10%
 
forex ni kamari yenyewe kama yenyewe, however its more useless kwa sababu huelewi unaeabttle nae, mfano nkienda pale sport pesa nkasema simba anashinda ama anachukua ubingwa chances ni kubwa kufanikiwa than kusema gold will go up or down
Sasa shida nini kwani kuna watu kwenye kupredict hiyo Gold , wanaweza vizurii sana, umepredict Gold mara 10, umeenda wrong mara saba (7) na kila ukikosa unalose constant 20$.
Lakin katika kupata umepat mara tatu (3) na kila moja uliyopata ni ratio ya 1:5 kwahiyo unakuta 20$×7(trade)=140$ loss

20$×5(ratio)× 3trade ulizopata= 300$
Netprofit 300$(profit)-140$(loss)=160$

kwahiyo trade 10 umepata tatu na kukosa 7. Still unakua na net profit ya 160$ that's business sasa we Mashavu wapi usipoelewa unakaza ndonga tu unataka business ya 100% guarantee utasubir sana fala ww
 
umeweka elfu 10 forex unategemea upate elfu 20.
Hyo 10 ya nyongeza inatoka wap?
 
forex ni kamari yenyewe kama yenyewe, however its more useless kwa sababu huelewi unaeabttle nae, mfano nkienda pale sport pesa nkasema simba anashinda ama anachukua ubingwa chances ni kubwa kufanikiwa than kusema gold will go up or down
Sasa wewe shida yako nini kama forex ni kamari kuna ubaya gani sie
tukiibeti .
Maana mpira nao ni kamari vilevile lakini wanapata na kukosa kwahiyo unataka uniambie kwenye Forex huwezi kupata hata trade moja tu.

Kwamba Forex betting yenyew ni mfululizo wa kukosa kila trade utakayoingia?
Mbona Unakuwa mshambamshamba hivo jitu la wapi ww
 
Back
Top Bottom