Nadhani unamaanisha NDD broker,Broker gani wanaruhusu instant excution ktk kutrade?
Ngoja nikubaliane na wewesame shit different day.
Sijajua unamanisha nini Mkuu, broker wote wanaruhusu hio.Broker gani wanaruhusu instant excution ktk kutrade?
Asante kwa ufafanuzi KakaNadhani unamaanisha NDD broker,
Ambapo wewe unahitaji broker atakayekupatia DMA/STP/ECN account,
kama ni ndivyo basi chagua mmoja kati ya hawa.
Ni kwanini umehisi hivo Mkuu?
Wengi naona ni market excution.Sijajua unamanisha nini Mkuu, broker wote wanaruhusu hio.
Naona sina uelewa juu ya hili, tusubiri wenye kujua watolee ufafanuzi.Wengi naona ni market excution.
Hongera Mkuu
Yatupasa tuipeleke FX kwa kila mwenye uhitaji.
Cha msingi ni kubadili hizi mentality tulizojiwekea ili tuweze kusonga mbeleNdio mkuu changamoto yetu watanzania huwa hatupendi kusoma, nazani michezo ambayo watnzania wengi wanapenda ni tatu mzuka, soka bet na mambo kama hayo ambayo hayaitaji kusoma,
na wengi wanaingia kwenye forex ivyo wanaishia kupigwa.
Mkuu sijapenda hii tabia
Usiwakatishe moyo mkuu......Hapatupo kujenganaNewbie bhana yani group za Wasap zipo kibao telegram channel kibao tena za kiswahili lakini mpo mpo tu