OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,064
Dah! Sawa mwl nimekuelewa sana tena sana mkuu. Hivyo basi Mimi niko Arusha na niko tayari kupata uzoefu wako maana kama vitabu nmesoma vyingi tu vya forex, videos nyingi nmecheki lakini bdo nachemka hasa kwa kipengele cha kuingia na kutoka sokoni, bado sina confidence, bado sijawa na focus ya kutosha kwenye hili soko.. Mt4 bado kuna vitu sjaweza kuvitumia vizuri.Ukweli ni huu latika forex
- Waweza kusoma mamia ya vitabui
- Waweza tazama mamia ya video za forex
Lakini mwisho wa siku BADO UTAHITAJI MTU WA KUKUELEKEZA MAWILI MATATU YA KUKUFANYA ULIKABILI SOKO VYEMA.
Mfano hai ni kwa wadau wote walio pata mafunzo toka TMT, ni wengi, ni zaidi ya 1,000 LAKINI MPAKA LEO ASILIMI 95% HAWAWEZI KUJITEGEMEA KWENYE ANALYSIS NA KUINGIA SOKONI WENYEWE. Bado wanahangaika na trading signal na wengi wao wamekwisha kata tamaa kabisa
(ANDIKA MAHALA HII SENTENSI NILIYOANDIKA KWENYE ITALIC, then fanya tafiti zako hapa JF na mtaani kwa ujumla wake)
JE UNAJUA NI KWANINI???
Utakapo ellewa ni kwanini ndio utaelewa nini nakizungumzia.
JE HIZO VIDEO NI ZANINI??? - NI KWA AJIRI YA KUPANUA UFAHAMU, UELEWA WA FOREX, Tatizo linakuja kwenyeUTUMIAJI KWA VITENDO KILE ULICHOKISOMA.
FX sio vitabu wala sio video, FX ni JINSI UNAVYOLIKABILI SOKO - Kuingia salama na kutoka salama.
View attachment 846480
Haya maandishi yana MAANA KUBWA SANA. Ukiyaelewa haya maandishi basi utanielewa kile ninachokifundisha.
Kibaya zaid niko alone nakomaa mwenywe na pia strategy bado sjaimasta fresh ..hivyo uwepo wako ni muhimu sana kwangu na kwa wote wenye niaje zadhibiti.
Sent using Jamii Forums mobile app