Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,400
- 9,079
mwenye namba ya ipay na templerfx-Tanzania... mpaka sasa hawaja ingiza pesa ktk a/c yangu ili niweze kutrade, toka siku ile ya ijumaa... nime sikitishwa sana... nataka nifanye nao mawasiliano nao ili niweze kujua wana nisaidiaje... au kama hawa wezi basi tuone tuna saidianaje...