AMLIGHT
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 1,140
- 824
No.Sorry mkuu... hivi wewe ni wakala wa TemplerFx??
No.Sorry mkuu... hivi wewe ni wakala wa TemplerFx??
Everywhere in this thread, boss.Where can I get the necessary books to further my study on this
Ok poa.. si kwa kupiga debe huko.
Ni muuaji wa usiku, ukilala na trade spread za uj zinafikia 150, mnajali commission za link zenu mnasahau mitaji ya ndg zenu.*TemplerFX*
Habari wakuu , mkombozi amekuja nae ni TemplerFX, ni broker mwenye Spread chache ambazo wewe kama Trader inakuwa na manufaa kwako sana hasa katika muda wa kuanza kuiona faida wakati soko linaelekea upande wako kwani utaiona mapema ukilinganisha na mabroker wengi wenye spread kubwa wanafanya uchelewe kuona faida na kuwa kwenye loss ndani ya muda mrefu hata kama soko linaelekea upande wako.
Taratibu za kujiunga ni nyepesi mno , wanahitaji kitambulisho cha kura / passport/leseni ya udereva., Kimoja kati ya hivyo pamoja na namba yako ya simu ya Vodacom ambayo utaitumia kuweka na kutoa pesa kwa wakala wako,.
Link ya kujiunga hii hapa Templer FX Trader
Note: Ukipata tatizo wakati wa kujisajili wasiliana na mimi PM nitakusaidia.
Kujisajili haichukui muda mrefu, ndani ya saa moja unaweza kukamilisha kila kitu na kuanza trade .
Uko sahihi, wapenda mteremko wanaisoma nambaHizo spread kwenye gold sio rafiki hata kwa George Soros
So I was supposed to trade with bonus on my own? As a secret? I get it...Ok poa.. si kwa kupiga debe huko.
Mimi pia nina account huko, But jamaa anampigia debe bila kuweka wazi mapungufu yake...... Spread za usiku ni kubwa hadi zinashangaza.Ni muuaji wa usiku, ukilala na trade spread za uj zinafikia 150, mnajali commission za link zenu mnasahau mitaji ya ndg zenu.
Fx sio kutoa kwa urahisi pekee, hata pesa ikichelewa kuingia kwenye akaunti kwa siku 2 lkn iwe salama ni bora kuliko kuunguza acc. Wengi wamelia.
Ushahidi ninao
Plus ukiangalia post zangu mwanzo nlikuwa napost kuhus instaforex, walikuwa wanatoa $1000, kama nliipata, why nsisaidie wengine kuipata? Not everyone can afford $30 as starting capital, if you have a way to help, you help, boss...Ok poa.. si kwa kupiga debe huko.
Broker yeyote mwenye floating spreads, ucku na asbh spreads huwa kubwa, nahc kuna group tupo pamoja, uncheck nkupe screenshot za spread za asbhMimi pia nina account huko, But jamaa anampigia debe bila kuweka wazi mapungufu yake...... Spread za usiku ni kubwa hadi zinashangaza.
Sawa mkuu, kanipe tuu... nizikute labda nitaelewa zaidi... naenda kuwasha data sipo online kule.Broker yeyote mwenye floating spreads, ucku na asbh spreads huwa kubwa, nahc kuna group tupo pamoja, uncheck nkupe screenshot za spread za asbh
Bro, nimeburn acc zaidi ya 4 na katu, ctotaka kulaumu ukubwa wa spread kwamb ndo umechangia.Ni muuaji wa usiku, ukilala na trade spread za uj zinafikia 150, mnajali commission za link zenu mnasahau mitaji ya ndg zenu.
Fx sio kutoa kwa urahisi pekee, hata pesa ikichelewa kuingia kwenye akaunti kwa siku 2 lkn iwe salama ni bora kuliko kuunguza acc. Wengi wamelia.
Ushahidi ninao
Nicheck boss... Nlodhani ni wewe co weweSawa mkuu, kanipe tuu... nizikute labda nitaelewa zaidi... naenda kuwasha data sipo online kule.
kumbuka forex haramu kwa muislam
Kula loss mkuu na kupoteza almost mtaji wako wotePia ngependa kujua zaidi nini maana ya kuunguza account kuna mtu pia alisema kuungua kwa account kunatokana na nini asaante
Pia ngependa kujua zaidi nini maana ya kuunguza account kuna mtu pia alisema kuungua kwa account kunatokana na nini asaante
Pia ngependa kujua zaidi nini maana ya kuunguza account kuna mtu pia alisema kuungua kwa account kunatokana na nini asaante
Hzo ni akaunt 2 tofauti za watu wawl tofauti ambao walikuwa wanatrade na wakakosea na kupoteza mtaji wote...Pia ngependa kujua zaidi nini maana ya kuunguza account kuna mtu pia alisema kuungua kwa account kunatokana na nini asaante