Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Wazo la pili
Kwasasa huu uzi ndio utakua ukitumika kwaajili ya kila kitu, updates and everything. Mambo yakikamilika I will make a call kwa uzi mwingine hapa hapa JF. Tuweni wavumilivu, I know how much I and my team are fighting to get started. Please kwa wale mnaonifahamu, sitajibu ht hizo text mnazonitumia mara kwa mara FB messenger na IG. Tukiwa tayari, nitatoa details zote na utaratibu, sehemu ya kukutana ni office pekee and not otherwise. Mambo yakikamilika tutaarifiana.

Kwa watu wa mkoani wanapataje ushauri wako
 
Hivi wote tukikimbilia kufanya biashara ya Forex atanunua nani? Isitoshe sijaona nadharia ya kufanya biashara hii hapa kwetu Tz penye uchumi dhaifu usiokuwa na transactions nying za pesa za kigeni. S. Africa wana maviwanda (I doubt if they're not neuclear power) hivyo na mzunguko wake ni babu kubwa. Pale OR Tambo International airport kuna ndege zirukazo na kutua every passing minute from big cities all over the world. Huku kwetu angalia hata London kwenyewe huwezi kwenda moja kwa moja lazima uunganishe sehemu nyingine, hiyo biashara ya forex waachie wajukuu zenu, nyie kwanza fikirieni kulima chakula cha kuwatosha, tuwe na umeme wa uhakika, maji matibabu nk.
Mkuu Nadhani unapenda kujulikana.Kama umeusoma uzi huu Na kuelewa usinge andika pumba.Au wewe ndio hao wasio taka jamii kufahamu Forex?
 
Mkuu na mi mwanaume wa mkoani lakini naomba niwe kati ya hao 300 wa mwanzo muda wa kuanza darasa ukifika ntasafiri na kuja kulala kwenye hizo guest house za elf 10 kama ulivyotuelekeza wanaume wa mikoani.
 
Ahsante sana kaka kwa kushawishi na kuleta hii fursa isiyojali hali ya uchumi wa nchi kama zetu ili kufanikiwa. Kwa ufupi watu waache kusema vitu wasivyovijua...wapo wabongo ambao wana trade FX kitambo na wanafanikiwa na wapo waliofeli na kukimbia. Hii kitu ni real na sio utapeli, jielimishe tu utajua ukweli ila usikatishe watu tamaa kuwaambia huu ni utapeli wkt huna uhakika. Mfano mimi mwenye natrade forex (see my card from XM broker) na huniambii kitu kwa sasa kwenye hii tasnia...just get in utanielewa. Watu kuweni positive minded, mjifunze (na sio lazima kwa huyu) na mtapiga hela. Cheers!
 
Hivi unakimbuka kuwa Z Anto, Bab Jr, Top C na wengine walianzisha muziki pamoja na Diamond?! Hii haimaanishi kama kuna mtu mwingine alifail basi kila mtu atafail.

Again nikusahihishe, forex si gambling - kama ingekuwa hivyo casino zote wangekua wanafanya forex. Forex is a technical thing, na hivyo unahitaji knowledge na skill ili uwe profitable trader.

Na mimi naamini knowledge can be transformed from one person to another. Mtu anaingia chuo hajui chochote lkn baada ya miaka kadhaa anatoka akiwa daktari tena anahamisha kiungo fulani, anakiweka kwenye sahani kisha anakirudisha.

Ni kweli kabisa, forex is not a get rick quick scheme, unahitaji ujitoe hasa katika kuacquire knowledge, unahitaji usome sana, uwe na uelewa na zaidi ya yote uwe na discipline kubwa mno na uweze kucontrol emotions zako.

Kuhusu kupoteza pesa:: Yes! Forex is not a 100% win-win business, na hakuna trader yoyote duniani atamake 100% winning trades, lazima losses utengeneze. Lkn tunachokiangalia ni ratio kati ya winning na losing trades. Kama tuseme kwa siku nimeingiza positions 10, 8 zikawa winning trades na 2 zikawa losing trades shida iko wapi. Pia dunia ya leo hadi unapoteza pesa yote basi wewe umeamua, taarifa zote zipo kiganjani mwako, umecalc SL na TP tena hata ukiamua unaweza ukaexecute pending order trades. Mtu ambae hajui nini anafanya ndie anaweza kuunguza account.
Sawa nimekusoma

Lakini let be honest for a minute

Foreign Exchange Market ni speculative process.

Kwa maana hii naona nafasi ya traders wadogo kupiga chapaa inakuwa minimized na upatikanaji wa taarifa kwao.

Pia ni ukweli traders wadogo hawana control yoyote dhidi ya brokers wanaowatumia

Hii business haina regulations, only demand and supply ndiyo inasimamia kila kitu. Hapa maana yake broker ndiyo "King" anaweza amua kufanya manipulation

Pia kwa sababu ya high volume of liquidity traders wadogo ni rahisi sana ku-over trade na mambo yakiwa tofauti ni kilio.

Wangapi hapa wapo tayari ku-risk $1000?

Je hizo $1000 zikipukutishwa wataongeza nyingine kufidia losses?

Binafsi naona forex unahitaji kwanza kuwa na vijisenti kwasababu kuna msemo Failure is the mother of success.

Na hii ipo ki mkakati maana kupigwa kwenye forex week chache za mwanzo ni rahisi kama vile mtoto anayefijunza kutembea anavyoanguka mara kwa mara

Binafsi naona ili upate profit lazima muda mrefu wa kujifunza uhusike na kama ulivyosema usiingize emotions. Yaani uwe professional kabisa.
 
Hivi wote tukikimbilia kufanya biashara ya Forex atanunua nani? Isitoshe sijaona nadharia ya kufanya biashara hii hapa kwetu Tz penye uchumi dhaifu usiokuwa na transactions nying za pesa za kigeni. S. Africa wana maviwanda (I doubt if they're not neuclear power) hivyo na mzunguko wake ni babu kubwa. Pale OR Tambo International airport kuna ndege zirukazo na kutua every passing minute from big cities all over the world. Huku kwetu angalia hata London kwenyewe huwezi kwenda moja kwa moja lazima uunganishe sehemu nyingine, hiyo biashara ya forex waachie wajukuu zenu, nyie kwanza fikirieni kulima chakula cha kuwatosha, tuwe na umeme wa uhakika, maji matibabu nk.
Ni vizuri ametukumbusha kuhusu Forex Trading ingawa baadhi yetu tulisha isikia bila kuchunguza zaidi. Lakini pia nimemuelewa kwamba Ontario lengo lake ni kuanzisha u broker ili atengeneze pesa kwa commission. Wabongo wanatakiwa wawe waangalifu amasivyo watapoteza pesa kwa pupa. Kwanza hiyo training atakayo toa ni bure au ndiyo njia ya kujipatia pesa?
 
Soma hivi vitabu, vimenisaidia sana miaka nenda rudi.
1. Naked Forex High Probability for trading without indicators.
2. Trading tools and tactics, reading the mind of the market
3. Forex on five hours a week by raghee horner, jeffrey allan
4. Master traders strategies for superior returns from todays top traders by fari hamzei, steve shobin.

Binafsi nakwambia anza na Hiko cha Naked Trading. Ukianza kukisoma hutakiacha. Kitakupa mwanga mzuri sana, hasa uanze na part three yenye chapter 12 hadi 16. Then uje part ya kwanza na ya pili.
Ahsante kwa ku_share nasi Bavaria , Nimekipata Hiki hapa kwa wengine watakao kihitaji.
 

Attachments

  • Naked Forex High-Probability Techniques for Trading Without Indicators -Wiley Trading.pdf
    7.5 MB · Views: 649
Ni vizuri ametukushaa kuhusu Forex Trading ingawa baadhi yetu tulisha isikia bila kuchunguza zaidi. Lakini pia nimemuelewa kwamba Ontario lengo lake ni kuanzisha u broker ili atengeneze pesa kwa commission. Wabongo wanatakiwa wawe waangalifu amasivyo watapoteza pesa kwa pupa. Kwanza hiyo training atakayo toa ni bure au ndiyo njia ya kujipatia pesa?
Nakuunga mkono mzee,
 
Sawa nimekusoma

Lakini let be honest for a minute

Foreign Exchange Market ni speculative process.

Kwa maana hii naona nafasi ya traders wadogo kupiga chapaa inakuwa minimized na upatikanaji wa taarifa kwao.

Pia ni ukweli traders wadogo hawana control yoyote dhidi ya brokers wanaowatumia

Hii business haina regulations, only demand and supply ndiyo inasimamia kila kitu. Hapa maana yake broker ndiyo "King" anaweza amua kufanya manipulation

Pia kwa sababu ya high volume of liquidity traders wadogo ni rahisi sana ku-over trade na mambo yakiwa tofauti ni kilio.

Wangapi hapa wapo tayari ku-risk $1000?

Je hizo $1000 zikipukutishwa wataongeza nyingine kufidia losses?

Binafsi naona forex unahitaji kwanza kuwa na vijisenti kwasababu kuna msemo Failure is the mother of success.

Na hii ipo ki mkakati maana kupigwa kwenye forex week chache za mwanzo ni rahisi kama vile mtoto anayefijunza kutembea anavyoanguka mara kwa mara

Binafsi naona ili upate profit lazima muda mrefu wa kujifunza uhusike na kama ulivyosema usiingize emotions. Yaani uwe professional kabisa.
Smart
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom