Ziko page 206!kitabu cha astrofx kipo page namba ngapi wakuu?
Ivi kumbe unaweza kutrade pair hiyo hiyo moja kwa position nyingi?View attachment 531007
WAKUU VP APO NAONA KAMA DEMO NAIPATIA
Ivi kumbe unaweza kutrade pair hiyo hiyo moja kwa position nyingi?
Halafu bado ishu ya volume ni mtihan kwangu
Mkuu@bavaria msaada pls
Wakuu leo nimekutana na hii challenge!!
Palikua na event moja huko ujerumani... Na katika forecast zao...na hasa katika actual result wali comment kwamba EURO itapanda (bullish)...embu soma hii picha...
Cheki na hii...
Lakini katika actual market EURO imeshuka sana...yaani EURUSD imekua so bearish!!
Maana kwenye hiyo pic actual value ni kubwa kuliko expected/forecast, ilitakiwa iwe bullish sasa nashangaa imekua bearish!!
Je ni mimi niliielewa vibaya hii "news"???
ONTARIO Bavaria na traders wengine wote!!!
Wakuu leo nimekutana na hii challenge!!
Palikua na event moja huko ujerumani... Na katika forecast zao...na hasa katika actual result wali comment kwamba EURO itapanda (bullish)...embu soma hii picha...
Cheki na hii...
Lakini katika actual market EURO imeshuka sana...yaani EURUSD imekua so bearish!!
Maana kwenye hiyo pic actual value ni kubwa kuliko expected/forecast, ilitakiwa iwe bullish sasa nashangaa imekua bearish!!
Je ni mimi niliielewa vibaya hii "news"???
ONTARIO Bavaria na traders wengine wote!!!
Inawezekana. Ni strategy tu ya kumaximize profit kwenye trade zako.Ivi kumbe unaweza kutrade pair hiyo hiyo moja kwa position nyingi?
Halafu bado ishu ya volume ni mtihan kwangu
Mkuu@bavaria msaada pls
Uko sahihi kabisa mkuu, ila hata wao wana classify kama medium, low, high!! event yoyote yenye high influence mara nyingi lazima itokee!!! Ila niekubaliana na wewe yoyte kwa yote inategemea na soko!!Mkuu katika kusoma kwangu hicho ni kitu cha kawaida.. Iko hivi hapo hiyo news ni FUNDAMENTAL ANALYSIS na kuna wakati market inarespond vile event inataka lkn pia kuna wakati market inaweza ignore hiyo event. So wanasema kabla ya kufanya maamuzi ni vizuri pia ukaangalia TECHNICAL ANALYSIS ambazo nadhani unajua jinsi ya kuzicheki.
Hayo ni maoni yangu sijui kama nimeelewa sawa.
Kuna pairs zina liquidity nzuri tu. Ukizikomalia zinakupeleka mbali.Duuu...hapo labda wakongwe watusaidie Mkuu.
Ila kama una trade live hii pair ya EUR/GBP naona imekaa poa sana....naona double bottoms na double tops zinapigana vikumbo.
Ukiwa mtu wa kuingia na kutoka unaweza piga mkwanja mrefu sana...mm nimekomaa nayo kwenye demo mpaka sasa Nina mshahara kama wa wabunge wawili wa TZ..
Sijui kama nipo sahihi lakn...mm bado mchanga...wakuu ONTARIO au Bavaria wanaweza kutia neno
Nashukuru sana mkuu!!! Uko sahihi!!Habari.
Wakati mwingine News zinaweza zisilete impact kiasi kile ambacho watu wanafikiria.
Inategemea na jinsi Institutional Investors wanavyodigest hiyo news na kwamba wanaipa kipaumbele au la.
Binafsi, sijaona kama hiyo news ina uzito sana kiasi cha kuipa attention. Kwahiyo, nimeona bora ibaki na trend kama ilivyo.
Kingine, Euro ni official currency ya nchi nyingi za Ulaya. Kwahiyo, news ya Germany inaweza isilete uzito kama dola inavyokuwa.
Collective decisions mfano, interest rate anazotoa Draghi ndo huwa zinatikisa Euro. Ila kwa Germany bado sana.
Sababu kubwa inaweza kuwa;
-Institutional Investors hawajaona umuhimu wa hiyo news.
-Germany ni single entity kwenye matumizi ya Euro. So haiwezi kupush price juu wala chini..
Wazo la nne
Si hata wazo la msingi sana, hahaa. Sijui niandike nini, lkn nachotaka kumaanisha ni usiwe mchoyo, kama kuna rafiki yako wa faida unahisi inabidi aone huu uzi usisite kumtag.
Ni bora tukaepuka kuQuote huu uzi, ni mrefu sana sana, yani ukiquote unatusumbua sana ambao tunatumia simu na gadgets zingine ndogo ndogo.
Karibuni kwaaliji ya ku discuss.
Updates
Moja ya ombi la msingi ambalo nimeona watu wengi wanaulizia ni - "Ontario ni kitabu gani naweza kuanza nacho?"
Kila mtu ambae yupo interested atafute kitabu kinaitwa Currency trading for Dummies: Kimeandikwa na Brian Dolan 2nd Ed ndio poa zaidi. Cover yake ni kama changano then kuna dunia hivi inaramani za nchi mbali mbali.
Sawa kabisa mkuu Loddy.Uko sahihi kabisa mkuu, ila hata wao wana classify kama medium, low, high!! event yoyote yenye high influence mara nyingi lazima itokee!!! Ila niekubaliana na wewe yoyte kwa yote inategemea na soko!!
Kama nusu saa iliyopita kulikua na event huko marekani naona dola ya USA imechezea za kichwa kweli kweli!!!
tena inakuwa very simple kufanya analysis zako ukispecialise kwa pair mbili au tatu kinyume na trader anaye trade pair nyingi hivyo kuongeza chances zako za kupata positive resultsKuna pairs zina liquidity nzuri tu. Ukizikomalia zinakupeleka mbali.
Kuna traders duniani nawafahamu, wanatrade pair moja au mbili tu. Hawajishughulishi na pair nyingine yeyote.
Nna rafiki yangu anatrade EURUSD na GBPJPY.
Toka mwaka huu uanze hajawahi kugusa pair zaidi ya hizo mbili. Na hana mpango wa kuhangaika nazo.
Anaweza fungua position zaidi ya 200 kwa lot ya 0.10 kwa pair hizo mbili na akatoka na mpunga wake wa kutosha.