Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Edited

Nimewapa vitabu musome ndani nje ili muielewe forex vizuri, mjue nini maana ya forex na nini si forex. Kuna jamaa kafungua uzi kuhusu kitu kinaitwa iMarkets. Kwa knowledge mlioyonayo mnaeza kuona jinsi gani forex inavyotumika kusafisha multilevel marketing schemes na Ponzi.

■Hakuna sehemu mliyosoma kwenye forex ambapo wameandika kua ktk forex kuna Chain recruitment. Hakuna trader ama investor yoyote kwenye forex anayelipwa kwa kufanya recruitment.

■Hakuna kitabu kikichosema kua forex kuna consistent profits, kwamba kila mwezi utapata tuseme mil 10. Forex depends on the market. Kuna siku utapata laki kuna siku utapata hata laki 5 kuna siku hupati kitu na kuna siku utapata loss.

■Forex hakuna sehemu kuna mambo ya classes among traders. Sijui platinum member, sijui Gold sijui copper. That is not forex.

■Forex is not a rich quick scheme. Forex unahitaji knowledge ya hali ya juu, unahitaji uwe na uelewa wa kutosha, uwe na concentration, uwe karibu na strong team ambapo mnashare knowledge tena zaidi ni muhimu kuwa na mentor mzoefu.

PS: So please someni sana kujua which is black and which is white, ili hata ukiletewa kijivu uweze kua na maamuzi sahihi. Sikukatazi kuingia huko, lkn fanya investment ukiwa unafahamu final outcome.
Be blessed boy after ten year's to come your will enjoy your success i mean utakuwaa kwenye nafasii nzuriii ya kuzungumzaa na viongozi watanzania uwashauriii kuhusuu maishaa




THE HERO'S ALWAYS ARE REWARDED.
 
Trade like Pro
Kama mtu alifatilia analysis niliyoweka wiki iliyopita, basi utagundua faida niliyopiga...

Hapa nimecheki EURGBP na hiki ndio nilikiona::
c0cff2eca58101479cb606e6e5b9eee4.jpg


Kwanza kabisa price imeheshimu zones zangu, na naona wazi price imefika juu kabisa kwenye Ceiling/Resistance, baada ya kufika juu ikaform double top, hiyo kama 'M' unayoina. 1 kwa 1 ni ishara kua wiki ijayo itakua bearish kwa hii pea, so I will go short.

Lakini pia napata uhakika zaidi maana hii double top iliyoprintiwa ni kitu makini sana kinachoitwa moolah. Hii moolah inakua na hizi tabia:-

■Soko linagonga resistance mara 2 - kama tunavyoona kwenye hiyo screen shot.

■Second tounch inakua fupi kulinganisha na 1st touch - kama kutavyoona kwa screen shot.

■Katika hizo touch 2 kunabidi kuwe na candlestick zisizopungua 6. Na hapo tunaona kuna mishumaa ya kutosha.

■Baada ya touch ya 2 soko linaprint bearish candlestick - kama tunavyoona.

Hii pair nitaihold hadi hapo itakapogonga support yangu. Let the market prove me wrong!!

============================

.

Aisee hapo naona ni zaidi ya 400 pips to be exact. Kama ulitembea na position ya hata 5 USD per pip, it is a hell of money.
 
Walishakujaa wengiii kutuvunjaa moyo wengine tuna waremove hadi watsap zetuuu ukuuu kwenye group wanahamia telegram tenaaa keshoo atakuwaa blocked tenaaa hatutakii wanafikiii wanataka kutuletea u forever living product bhanaaa waende ukooo
Mkuu jinsi gani ya kujiunga kwenye wasap group
 
Walishakujaa wengiii kutuvunjaa moyo wengine tuna waremove hadi watsap zetuuu ukuuu kwenye group wanahamia telegram tenaaa keshoo atakuwaa blocked tenaaa hatutakii wanafikiii wanataka kutuletea u forever living product bhanaaa waende ukooo
Manirabona Mkuu nimekuPm no# ya Yng niadd kwa grps
 
Trade like Pro
Kama mtu alifatilia analysis niliyoweka wiki iliyopita, basi utagundua faida niliyopiga...

Hapa nimecheki EURGBP na hiki ndio nilikiona::
c0cff2eca58101479cb606e6e5b9eee4.jpg


Kwanza kabisa price imeheshimu zones zangu, na naona wazi price imefika juu kabisa kwenye Ceiling/Resistance, baada ya kufika juu ikaform double top, hiyo kama 'M' unayoina. 1 kwa 1 ni ishara kua wiki ijayo itakua bearish kwa hii pea, so I will go short.

Lakini pia napata uhakika zaidi maana hii double top iliyoprintiwa ni kitu makini sana kinachoitwa moolah. Hii moolah inakua na hizi tabia:-

■Soko linagonga resistance mara 2 - kama tunavyoona kwenye hiyo screen shot.

■Second tounch inakua fupi kulinganisha na 1st touch - kama kutavyoona kwa screen shot.

■Katika hizo touch 2 kunabidi kuwe na candlestick zisizopungua 6. Na hapo tunaona kuna mishumaa ya kutosha.

■Baada ya touch ya 2 soko linaprint bearish candlestick - kama tunavyoona.

Hii pair nitaihold hadi hapo itakapogonga support yangu. Let the market prove me wrong!!

============================

Ntaitumia kama SELL Signal.
 
Trade like Pro
Kama mtu alifatilia analysis niliyoweka wiki iliyopita, basi utagundua faida niliyopiga...

Hapa nimecheki EURGBP na hiki ndio nilikiona::
c0cff2eca58101479cb606e6e5b9eee4.jpg


Kwanza kabisa price imeheshimu zones zangu, na naona wazi price imefika juu kabisa kwenye Ceiling/Resistance, baada ya kufika juu ikaform double top, hiyo kama 'M' unayoina. 1 kwa 1 ni ishara kua wiki ijayo itakua bearish kwa hii pea, so I will go short.

Lakini pia napata uhakika zaidi maana hii double top iliyoprintiwa ni kitu makini sana kinachoitwa moolah. Hii moolah inakua na hizi tabia:-

■Soko linagonga resistance mara 2 - kama tunavyoona kwenye hiyo screen shot.

■Second tounch inakua fupi kulinganisha na 1st touch - kama kutavyoona kwa screen shot.

■Katika hizo touch 2 kunabidi kuwe na candlestick zisizopungua 6. Na hapo tunaona kuna mishumaa ya kutosha.

■Baada ya touch ya 2 soko linaprint bearish candlestick - kama tunavyoona.

Hii pair nitaihold hadi hapo itakapogonga support yangu. Let the market prove me wrong!!


Nimejaribu kufuatilia, nimeweza kuona kama market inaweza kutengeneza consolidation zone (Last kiss) kabla ya kubreakout na kuwa down trend especially kwa long term traders, sina vivid support zaidi ya hiyo consolidation zone ambayo ipo hapo.

All is well kesho nitakua napractice catalyst za naked trader ambazo nimesoma mojamoja, nazitafuta kwenye chart
 
Mkuu jinsi gani ya kujiunga kwenye wasap group
Kunaaa link ukipitia hujaiona ipoo humu humu Pitia posted za nyuma utakutanaa nayoo mkuu achaa uzembe kwenye vituu vya muhimuu kamaa hiviii pitia utaionaa tuuuu hiyo ndiyoo sirii moja wapo ya mafanikio kusomaa
 
Duh nimeusoma huu Uzi vizur nimevutiwa sana na hii biashara kiukweli ni bonge la business dunian kote forex ninaihitaji ktk harakat zang za kubadili maisha,aise brother ikiwa tayar usisite kunishitua na mm japo niwe miongoni mwa wale 300 wa mwanzo kabisa japo Niko mkoani
 
Duh nimeusoma huu Uzi vizur nimevutiwa sana na hii biashara kiukweli ni bonge la business dunian kote forex ninaihitaji ktk harakat zang za kubadili maisha,aise brother ikiwa tayar usisite kunishitua na mm japo niwe miongoni mwa wale 300 wa mwanzo kabisa japo Niko mkoani

Sidhani kama umeusoma uzi wote
 
Ahsante kwa uzi mkuu ONTARIO , ngoja nile theory kwanza kwenye hiki kitabu. Naamini mambo yatajipa.

Wadau: Kwa ambao mmeshaingia kwa practical naomba msinichoke na maswali nitakayokua nayaleta ili mnieleweshe.
 
Edited

Nimewapa vitabu musome ndani nje ili muielewe forex vizuri, mjue nini maana ya forex na nini si forex. Kuna jamaa kafungua uzi kuhusu kitu kinaitwa iMarkets. Kwa knowledge mlioyonayo mnaeza kuona jinsi gani forex inavyotumika kusafisha multilevel marketing schemes na Ponzi.

■Hakuna sehemu mliyosoma kwenye forex ambapo wameandika kua ktk forex kuna Chain recruitment. Hakuna trader ama investor yoyote kwenye forex anayelipwa kwa kufanya recruitment.

■Hakuna kitabu kikichosema kua forex kuna consistent profits, kwamba kila mwezi utapata tuseme mil 10. Forex depends on the market. Kuna siku utapata laki kuna siku utapata hata laki 5 kuna siku hupati kitu na kuna siku utapata loss.

■Forex hakuna sehemu kuna mambo ya classes among traders. Sijui platinum member, sijui Gold sijui copper. That is not forex.

■Forex is not a rich quick scheme. Forex unahitaji knowledge ya hali ya juu, unahitaji uwe na uelewa wa kutosha, uwe na concentration, uwe karibu na strong team ambapo mnashare knowledge tena zaidi ni muhimu kuwa na mentor mzoefu.

PS: So please someni sana kujua which is black and which is white, ili hata ukiletewa kijivu uweze kua na maamuzi sahihi. Sikukatazi kuingia huko, lkn fanya investment ukiwa unafahamu final outcome.
Tunasoma mkuu wewe chapa kazi sisi tunaendelea kusoma hawa wapotoshaji hawata ambulia kitu....mbele kwa mbele
 
Wakuu leo nimekutana na hii challenge!!

Palikua na event moja huko ujerumani... Na katika forecast zao...na hasa katika actual result wali comment kwamba EURO itapanda (bullish)...embu soma hii picha...
a37314ec609419befc1eca7296ac31e9.jpg


Cheki na hii...
f0d6a7249696bbc39ef2e43c2155ffd7.jpg



Lakini katika actual market EURO imeshuka sana...yaani EURUSD imekua so bearish!!

Maana kwenye hiyo pic actual value ni kubwa kuliko expected/forecast, ilitakiwa iwe bullish sasa nashangaa imekua bearish!!

Je ni mimi niliielewa vibaya hii "news"???

ONTARIO Bavaria na traders wengine wote!!!
 
Edited

Nimewapa vitabu musome ndani nje ili muielewe forex vizuri, mjue nini maana ya forex na nini si forex. Kuna jamaa kafungua uzi kuhusu kitu kinaitwa iMarkets. Kwa knowledge mlioyonayo mnaeza kuona jinsi gani forex inavyotumika kusafisha multilevel marketing schemes na Ponzi.

■Hakuna sehemu mliyosoma kwenye forex ambapo wameandika kua ktk forex kuna Chain recruitment. Hakuna trader ama investor yoyote kwenye forex anayelipwa kwa kufanya recruitment.

■Hakuna kitabu kikichosema kua forex kuna consistent profits, kwamba kila mwezi utapata tuseme mil 10. Forex depends on the market. Kuna siku utapata laki kuna siku utapata hata laki 5 kuna siku hupati kitu na kuna siku utapata loss.

■Forex hakuna sehemu kuna mambo ya classes among traders. Sijui platinum member, sijui Gold sijui copper. That is not forex.

■Forex is not a rich quick scheme. Forex unahitaji knowledge ya hali ya juu, unahitaji uwe na uelewa wa kutosha, uwe na concentration, uwe karibu na strong team ambapo mnashare knowledge tena zaidi ni muhimu kuwa na mentor mzoefu.

PS: So please someni sana kujua which is black and which is white, ili hata ukiletewa kijivu uweze kua na maamuzi sahihi. Sikukatazi kuingia huko, lkn fanya investment ukiwa unafahamu final outcome.
Bro, tuombeane uzima ila SA lazima mkuu
Apa Ontario pale Mlu na ma trader wenzetu tunagonga glass na ku share ma idea kuhusu forex hahahaah
 
Wakuu leo nimekutana na hii challenge!!

Palikua na event moja huko ujerumani... Na katika forecast zao...na hasa katika actual result wali comment kwamba EURO itapanda (bullish)...embu soma hii picha...
a37314ec609419befc1eca7296ac31e9.jpg


Cheki na hii...
f0d6a7249696bbc39ef2e43c2155ffd7.jpg



Lakini katika actual market EURO imeshuka sana...yaani EURUSD imekua so bearish!!

Maana kwenye hiyo pic actual value ni kubwa kuliko expected/forecast, ilitakiwa iwe bullish sasa nashangaa imekua bearish!!

Je ni mimi niliielewa vibaya hii "news"???

ONTARIO Bavaria na traders wengine wote!!!



Mkuu mm bado mchanga kweli kwenye forex...ila kidogo kidogo naanza kuielewa lugha ya forex.

Naomba soma page no 14 ya ASTROFX....Fundamental Analysis/Economic data releases..nadhani ulichokishuhudia ndicho kimetolewa angalizo hapo.
 
Mkuu mm bado mchanga kweli kwenye forex...ila kidogo kidogo naanza kuielewa lugha ya forex.

Naomba soma page no 14 ya ASTROFX....Fundamental Analysis/Economic data releases..nadhani ulichokishuhudia ndicho kimetolewa angalizo hapo.
Kote huko nimeshaangalia!

Ila kwa jinsi walivyotoa namba zao, wanadai EUR ingepanda! What i wonder ni kwamba mpaka sasa EURO iko chini na inazidi kushuka tofauti na matarajio!!

Hapo ndipo nilipo kwama mkuu!!
 
Kote huko nimeshaangalia!

Ila kwa jinsi walivyotoa namba zao, wanadai EUR ingepanda! What i wonder ni kwamba mpaka sasa EURO iko chini na inazidi kushuka tofauti na matarajio!!

Hapo ndipo nilipo kwama mkuu!!



Kote huko nimeshaangalia!

Ila kwa jinsi walivyotoa namba zao, wanadai EUR ingepanda! What i wonder ni kwamba mpaka sasa EURO iko chini na inazidi kushuka tofauti na matarajio!!

Hapo ndipo nilipo kwama mkuu!!


Duuu...hapo labda wakongwe watusaidie Mkuu.

Ila kama una trade live hii pair ya EUR/GBP naona imekaa poa sana....naona double bottoms na double tops zinapigana vikumbo.

Ukiwa mtu wa kuingia na kutoka unaweza piga mkwanja mrefu sana...mm nimekomaa nayo kwenye demo mpaka sasa Nina mshahara kama wa wabunge wawili wa TZ..

Sijui kama nipo sahihi lakn...mm bado mchanga...wakuu ONTARIO au Bavaria wanaweza kutia neno
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom