Manirabona
Member
- Jun 5, 2017
- 63
- 73
Be blessed boy after ten year's to come your will enjoy your success i mean utakuwaa kwenye nafasii nzuriii ya kuzungumzaa na viongozi watanzania uwashauriii kuhusuu maishaaEdited
Nimewapa vitabu musome ndani nje ili muielewe forex vizuri, mjue nini maana ya forex na nini si forex. Kuna jamaa kafungua uzi kuhusu kitu kinaitwa iMarkets. Kwa knowledge mlioyonayo mnaeza kuona jinsi gani forex inavyotumika kusafisha multilevel marketing schemes na Ponzi.
■Hakuna sehemu mliyosoma kwenye forex ambapo wameandika kua ktk forex kuna Chain recruitment. Hakuna trader ama investor yoyote kwenye forex anayelipwa kwa kufanya recruitment.
■Hakuna kitabu kikichosema kua forex kuna consistent profits, kwamba kila mwezi utapata tuseme mil 10. Forex depends on the market. Kuna siku utapata laki kuna siku utapata hata laki 5 kuna siku hupati kitu na kuna siku utapata loss.
■Forex hakuna sehemu kuna mambo ya classes among traders. Sijui platinum member, sijui Gold sijui copper. That is not forex.
■Forex is not a rich quick scheme. Forex unahitaji knowledge ya hali ya juu, unahitaji uwe na uelewa wa kutosha, uwe na concentration, uwe karibu na strong team ambapo mnashare knowledge tena zaidi ni muhimu kuwa na mentor mzoefu.
PS: So please someni sana kujua which is black and which is white, ili hata ukiletewa kijivu uweze kua na maamuzi sahihi. Sikukatazi kuingia huko, lkn fanya investment ukiwa unafahamu final outcome.
THE HERO'S ALWAYS ARE REWARDED.