Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,867
- 157,069
Umeliuza swali muhimu sana, kwani kazi kubwa kutumia simu, ajibu watu wawe na uelewa sahihiKifaa chochote kinachotumia internet unaweza fungulia!! Kama ukiwa na pc itakua rahisi zaidi!!
Umeliuza swali muhimu sana, kwani kazi kubwa kutumia simu, ajibu watu wawe na uelewa sahihiKifaa chochote kinachotumia internet unaweza fungulia!! Kama ukiwa na pc itakua rahisi zaidi!!
Mkuu nisamehe, nilikuwa mbali na PC na comment yako niliiona kwa kutumia simu na sikuiona vizuri..
Back to the topic,
You are improving exceptionally, i can't say or add anything more that what you have just said in your amazing analysis.
I see the last Impulse and the last correction, after hitting the upper resistance, it may proceed or trace back and break the support.
You are in a good track.
Fafanua mkuu kivipi FNB wamewekwa kwenye uangalizi maalumu?Nimesoma haraka haraka lkn nilipoona umesema umeongea na FNB Bank nimepata mashaka makubwa Sana.
FNB bank ni Kati ya bank mbaya kabisa kwa deal za pesa na sasa hivi iko chini ya uangalizi maalum wa BOT.
Sio kwamba umeichanganya na FBMENimesoma haraka haraka lkn nilipoona umesema umeongea na FNB Bank nimepata mashaka makubwa Sana.
FNB bank ni Kati ya bank mbaya kabisa kwa deal za pesa na sasa hivi iko chini ya uangalizi maalum wa BOT.
Sijaelewa kwa nini hujatumia "SUPPORT/RESISTANCE" na Stochastic na umeweza kutoa hiyo analysis.EUR/USD next week projections.
Naendelea kula tizi za kuchora trend lines hapa. Na hapa nimemaliza kuanalyse na hiki ndo nilichokiona.
View attachment 530016
EUR/USD Monthly
Nilichoweka hapo juu ni Monthly candlestic chart ya EUR/USD
1. Nimegundua hii pair ilishuka toka mwaka 2014 mwishoni, na toka kipindi hicho haijapanda tena thamani.hata hivi sasa. Nilijaribu kuchambua zaidi sababu iliyofanya Euro ishuke thamani dhidi ya dola nikakutana na sababu kama Greece fear, imposing of new ECB laws nk. Kitu ambacho sidhani kama kimebadilika hata sasa ukizingatia hata sasa kuna Brexit around the corner
3 reasons the euro is plunging
Nikatoka hapo nikachambua Weekly chart.
View attachment 530022
EUR/USD Weekly
Katika weekly chart so far nimeweza come up with two trend lines ambazo ni bullish. ambapo somewhere kwa nyakati tofauti zinaenda kukutana na resistance line ambayo imekuwepo toka mwishoni mwa 2014.
Basing on this, natarajia bearish movement kwa wiki ijayo kwani siamini kama Euro itaimarika dhidi ya dola ukizingatia level iliyo sasa ni haijavukwa toka mwaka jana september. Hata kama itaimarika haitoimarika kubreach resistance iliyokuwepo toka 2014 mwishoni. Ingawaje katika hili kuwa sure ni lini na wapi uuse hii pair naona ni swala la indicators kwa kuibia linaweza kupa signal.
View attachment 530036
EUR/USD Daily
Katika chart ya daily hizo bullish movement za hii pair zinaonekana vyema. So ukiwa umepanga kununua hii pair na wewe ni short term trader, Basi kaa kimtegomtego maana muda wowote ngoma inabadilika. Ila kama ni long term montly trader unaweza sikilizia kidogo ukauza hiyo pair kwani i expect mwezi ujao price itareverse tuu na kuwa bearish.
CC: Ontario, Bavaria.
Kuna watu mioyo yao imejaa "KUTU" na wapo kurudisha watu nyuma, HUWA mimi namezaga mate naendelea na dreams zangu mana najua kila mtu ana maisha yake.Hahahhaaaaa ...nimecheka sana hapo wakongwe wa forex walivyomwambia ONTARIO sasa Jeff upumbavu gani umefanya kutangaza forex sijui...hii kitu kweli mm ni mgeni Kabisa ila kwa nilivojisomea kwa kiasi...hii sio Biashara ya nyanya kuwa watu wengi wakijihusisha nayo nyanya zitajaa sokoni na kukosa bei...naomba niwaambie wakuda wote....hii inaitwa forex trade babe...na ndo tumeshastuliwa ishu sasa...na nyuma haturudi kamwe.....na muda si mrefu tutaride MaBMW..... tena mweusi tiiiiiiiiiiiiiiii....wakuda wakitaka kuziona waje nje ya the proposed forex lounge Bavaria ..watazikuta nyingi tu...ila sasa hawataweza kuingia lounge...mlango electronic.... P/W ni sura ya member/trader....mwishowe watatuletea polisi ila kwa vile shughuli Zetu zitakuwa zinaendeshwa kihalali watagonga mwamba..
HATERS nendeni mkajinyonge ili msishuhudie haya yanayokaribia kujiri hapa Tanzania..
asante sana mkuu hapo nimekusoma"You don't need to be perfect mkuu, start small and grow"!!
Infact huna haja ya kudeposit ndio uanze kuna brokers wanatoa bonuses so unaweza anza na hizo bonus huku ukipima upepo unaendaje!!
Pamoja arifu!
mm nais sijamuelewa cjuii maana hata sielew nisemeje,Wacha kutukana mjomba...utaondolewa JF hushindwe kuendelea kudanganywa kwenda jehanamu...