Forever Living imeniachanisha na mke wangu

Forever Living imeniachanisha na mke wangu

Acheni Uongo Mm Npo Forever Na Hakuna Hyo K2 Kama M2 Ana Tabia Zake Mbaya Anazo Tu Ata Fanye Kaz Wap
 
Achen Mawazo Mgando Mchepuko Ni Mchepuko Tu Hata Afanye Kaz Wap Atachepuka
 
Hawa wadada Wa kukutana nao kwenye bus ni matatizo! Kuwa mvumilivu tu mwana uliyataka mwenyewe, Paulo aliwaambia heri mkae kama yeye ninyi mkadai eti papuchi tamu vumilia lakini hapo naona hata papuchi hupati tena!! Bora ungejinyamazia tu kuliko kijidhalilisha kwa wanaume wenzio!! Wanawake ni tatizoooo!! Eti ndo kuna watu wanapiga kelele Migiro awe Rais mbona tutambeba, wanawake hawafai!!
 
Anakuwa busy na simu, emails anapokuwa home?kama ndio hivyo chunguza usije ukawa unaibiwa mke.
 
Hivi viuzaji vya ma forever living ni noumar!! Kuna kamoja ka mwanachuo kalinitembelea getto kanauza hayo nikakaungapo kwa vile ilikuwa lunch time nikakaribisha msosi Wa mchana,

Kwani kalitaka tena kuondoka? Kakawa kanajishaua sasa umenishibisha hivi hata kutembea na jua lote hili sina hamu tena, bora ningekuwa room kwangu ningelala kwanza!! Hapo kiranja Mkuu sikutaka tena tafsiri nyingine, kikwetu huwa tunasema Uja muntwe nang'ho" (yaani na Wewe uwe unajiongeza au akili mu kichwa)! Sasa huyu Mjomba akae hapo anajilizaliza, huku mama baada ya kuchoka juani anapulizwa na kiyoyozi!!
 
Hapana mkuu. Mahaba yote kayahamishia kwa wateja wake maana wateja wengi ni wanaume hivyo akibembeleza wateja 10 mchana kutwa akirudi nyumbani anashindwa kukubembeleza na wewe kwa kuwa wale aliowabembeleza wanakuwa wameshamchosha.
 
Huyo atakuwa kapata Mkurugenzi Meneja Kitambi huko huko Forever kwa hiyo huyo mkeo hafanyi kazi Forever bali akitoka asubuhi anaenda kushinda na huyo Meneja Kitambi lakini mshahara na matumizi mengineyo anampa kama kawaida.
 
Na siyo forever tuu. Wanawake wengi wenye biashara za kutembeza maofisini na kwenye nyumba za watu ni hatareeee. Kwanza lazima wapeane namba za simu kwa sababu mteja anamwambia hapa sina hela ya kutosha, uje kesho ntamaliiza, sasa lazima mpeane namba ili muwasiliane umdai. Pili, wanavyozunguka akifika mahali mwanaume yuko peke yake hapo lazima aingizwe kingi.

Nakumbuka wakati nasoma UDSM kuna wadada walikuwa wanapita kwenye hallz za wanaume kuuza singlend, boxer na bukta. Wanachuo walikuwa wanapiga haswaaaaaa. Siku moja alinikuta niko peke yangu rum pale hall 2, nikampigisha story za hapa na pale, nikaona mtoto analegeza macho tuu. Kilichofuata usiniulize. Wakati anaondoka akaniambia jamani mkimaliza chuo mnapata kazi nzuri mtukumbuke na sisi.
 
wiseboy.

Siku hizi hawafukuzwagi, wewe ingia home beba vitu vyako vya MUHIMU (key, passport, docs za ofisi ) sepa taratiiibu tena usimwambie mtu.
Kuishi na hawa watu yataka umakini na utayari at anytime, mguu mmoja nje mmoja ndani.
 
Last edited by a moderator:
wiseboy

Siku hizi hawafukuzwagi, wewe ingia home beba vitu vyako vya MUHIMU (key, passport, docs za ofisi ) sepa taratiiibu tena usimwambie mtu.
Kuishi na hawa watu yataka umakini na utayari at anytime, mguu mmoja nje mmoja ndani.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom