zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,265
- 29,108
If that's the case imekuaje Amazon imeingia kwenye top 10 ina maana amazon ina nguvu kuliko facebook !! Why bezos na sio zuckebergMark Zuckerberg yupo kwenye the most influential Business People in the World tokea mwaka 2015, humu tunaangalia watu ambao kauli zao moja kwa moja na matendo yao yanaweza kuathiri mwelekeo wa maisha yetu. Hivi leo Zuckerberg akisumbua na Facebook yake ndiyo tutaikumbuka lakini siyo FATAL sana, lakini Mfalme Salman akisumbua na mafuta yake hadi wewe na mimi tunaweza tusiende kazini kwasababu ya uhaba wa mafuta na mfumuko wa bei.