Rais Samia ni kati ya Wanawake wenye ushawishi zaidi duniani

Nyabukika

JF-Expert Member
Jun 15, 2022
1,402
942
Jarida la Forbes la nchini Marekani limemtaja kwa mara ya pili Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa miongoni mwa wanawake 100 duniani wenye nguvu na ushawishi zaidi akishika nafasi ya 95. Uchapakazi na uongozi wenye kuleta maendeleo endelevu vimempa heshima hiyo.

Rais Samia Suluhu anaendelea kuushangaza ulimwengu kwa utendaji wake kazi na kufanya mapinduzi makubwa ya maendeleo ndani ya Tanzania ndani ya siku 627 amefanya maendeleo makubwa sana katika sekta mbalimbali zinazomlenga mwananchi kama vile uboreshwaji miundombinu, Elimu, Afya pia amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuweka usawa wa kijinsia.

lakini kubwa zaidi Rais Samia Suluhu amefanikiwa kupambana na adui mkubwa wa mtanzania umasini kwa kutoa fursa mbalimbali za ajira kutoka katika miradi inayotekelezwa nchini na kutoa mikopo ya masharti nafuu kwa vijana, watu wenye ulemavu na wanawake.
 
Hiyo ni failure bado, yaani Rais wa nchi kabisa, nyuma unaongoza watu milioni 60 plus bado katika hiyo list ya watu 100 bora wenye ushawishi unakuwa wa 95, ilitakiwa kwa mbaali awe top 10. Hpo kuna wanawake ambao hata hawaongozo nchi yyte lkn wamemubwaga.
 
Amemshawishi nani? Kashawishi nini?

Hivi leo mtu mwenye akili timamu bado unategemea uambiwe na majarida ya Marekani nani mzuri nani mbaya?
 
Kila binti anaezaliwa Leo Tz anapata ufahamu na kukuta kuna Rais mwanamke...atajiona ana uwezo wa Ku achieve chochote....Samia ana inspire all the girls in Tz and beyond to believe sky is the limit for them...hiko ndo gift kubwa Kwa watanzania atakayo iacha
 
Hiyo ni failure bado, yaani Rais wa nchi kabisa, nyuma unaongoza watu milioni 60 plus bado katika hiyo list ya watu 100 bora wenye ushawishi unakuwa wa 95, ilitakiwa kwa mbaali awe top 10. Hpo kuna wanawake ambao hata hawaongozo nchi yyte lkn wamemubwaga.
Kumbuka ameingia kwenye list hiyo ni ndani ya siku 627 toka aingie madarakani na wamjaji kati ya izo siku ni ushindi mkubwa sana tena kumbuka ni duniani na sio Afrika
 
Uchapakazi wake na katika siasa yeye ameshika namba moja kwa kufanikiwa kuleta semocrasia Tanzania na hiyo ni kati ya siku 627 toka aingie madarakani
Demokrasia imeingia TZ tangu miaka ya 90, hadi leo hakuna cha maana ilichotupatia, Korea, China, Urusi huko kote hakuna demokrasia tizama walivyotuacha ki maendeleo
 
Demokrasia imeingia TZ tangu miaka ya 90, hadi leo hakuna cha maana ilichotupatia, Korea, China, Urusi huko kote hakuna demokrasia tizama walivyotuacha ki maendeleo
Huu ni utawala wa Rais Samia Suluhu kwaiyo maendeleo ni lazima we subiri na uone maana ndani ya siku 627 za utawala wake amefanya maendeleo makubwa sana
 
Ukianzia 100-1,hapo kafaulu. Ila 1-100 hapo kaangukia pua.
Ukiiangali in positive way utagundua Rais Samia Suluhu amefanya jitihada kubwa mpaka kufikia hapo na ukumbuke hiyo ni list ya Dunia nzima
 
Jarida la Forbes la nchini Marekani limemtaja kwa mara ya pili Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa miongoni mwa wanawake 100 duniani wenye nguvu na ushawishi zaidi akishika nafasi ya 95. Uchapakazi na uongozi wenye kuleta maendeleo endelevu vimempa heshima hiyo.

Rais Samia Suluhu anaendelea kuushangaza ulimwengu kwa utendaji wake kazi na kufanya mapinduzi makubwa ya maendeleo ndani ya Tanzania ndani ya siku 627 amefanya maendeleo makubwa sana katika sekta mbalimbali zinazomlenga mwananchi kama vile uboreshwaji miundombinu, Elimu, Afya pia amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuweka usawa wa kijinsia.

lakini kubwa zaidi Rais Samia Suluhu amefanikiwa kupambana na adui mkubwa wa mtanzania umasini kwa kutoa fursa mbalimbali za ajira kutoka katika miradi inayotekelezwa nchini na kutoa mikopo ya masharti nafuu kwa vijana, watu wenye ulemavu na wanawake.
Asante
Una maana ya ushawishi wa walioko chini yake jinsi ya kukwapua pesa za miradi hadi za Haashauri! Darasa Moja wanafunzi 400.
Mgonjwa akienda hospital anaambiwa aweke day la deposit kabla ya kupata huduma! Kazi uende mbele!!
 
Kila binti anaezaliwa Leo Tz anapata ufahamu na kukuta kuna Rais mwanamke...atajiona ana uwezo wa Ku achieve chochote....Samia ana inspire all the girls in Tz and beyond to believe sky is the limit for them...hiko ndo gift kubwa Kwa watanzania atakayo iacha
Exactly Mabinti wengi Africa wanamuangalia Rais Samia Suluhu kama role model kufikia kwenye kwenye ndoto zao
 
Wameanza kukiri wenyewe bila shuruti kuwa nchi inaongozwa na mbumbumbu
 
Asante
Una maana ya ushawishi wa walioko chini yake jinsi ya kukwapua pesa za miradi hadi za Haashauri! Darasa Moja wanafunzi 400.
Mgonjwa akienda hospital anaambiwa aweke day la deposit kabla ya kupata huduma! Kazi uende mbele!!
Acha Kuongea vitu ambavyo hauna uhakika navyo mzee elimu imeboreshwa na madarasa yamejengwa ya kutosha subiri mwakani ushuhudie wanafunzi watakavyosoma kwa raha maana madarasa 8000 yamejengwa kwaiyo elimu inaendelea kuboreshwa
 
Back
Top Bottom