Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,460
- 39,928
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wow!Oh Snap!!!!
bra n<a tunataka kujua kama kweli bra MM ni mwanakijiji na kama ni Mzee. Only that ina maana sana branyie mnataka picha ya mm ya nini?posts zake zote zinamdisplay kuwa ni mtu wa wetu. mambo mengine ya nn, au mnajiandaa kumpiga mizinga pindi mkikutana (joke)
Poor you!nyie mnataka picha ya mm ya nini?posts zake zote zinamdisplay kuwa ni mtu wa wetu. mambo mengine ya nn, au mnajiandaa kumpiga mizinga pindi mkikutana (joke)
taratibu bra, uhuru wa kuoongeaaaa ooo yeeeePoor you!
Haya bana Mwanakijiji huyu hapa LoL!
http://www.facebook.com/people/Mwanakijiji-Wa-Kilema/1280778680
mmmh!!
Mwanakijiji amewatafunia jamani hawa kuwamezea
Haya bana huyu hapa sasa na awe rafiki yako kwenye Fesibuku
http://www.facebook.com/photo.php?pid=3779262&id=687191155#/mwanakijiji?v=wall
Paukwa ...pakawa..gademu..!! well kama hamnioni bwana basi.. kama mnafanya forensics ungejaribu kuangalia reflection kwenye mojawapo ya magari!!!! (angalia kwenye kioo)..
Yap Mwanakijiji, mbona mpaka leo hujaniadd kama rafiki yako licha ya kuwa na mutual friends zaidi ya sita?
Kwa wale wanaohitaji kuwa rafiki wa m'kijiji katika facebook mnaweza kumpata kwenye picha hii
By the way hadi sasa hana marafiki wengi, hivyo ni wakati mzuri wa kujiunga nae...
Yap Mwanakijiji, mbona mpaka leo hujaniadd kama rafiki yako licha ya kuwa na mutual friends zaidi ya sita?
Kwa wale wanaohitaji kuwa rafiki wa m'kijiji katika facebook mnaweza kumpata kwenye picha hii
By the way hadi sasa hana marafiki wengi, hivyo ni wakati mzuri wa kujiunga nae...
hahahah.. Kibunango... tangu utoto niliambiwa na wazee "chagua marafiki zako vizuri"; sasa ilipokuja facebook ndio ikawa ugomvi.. ati mtu ana marafiki 3000!! what the hell? I keep the circle of my friends small ili niweze ku-manage vizuri the circle of my enemies.