For the lazy ass dudes


I like ths attitude
 
ujumbe umepokelewa my dia karuceee,kweli wanaume wengi wamekuwa wavivu sana they only think abt beer and asusa, even push ups hawawezi kufanya asubui,utakuta jinaume limejaziana tumbo,------ as if she is 3 month pg.
eeh mola niepushe na uvivu mimi crucial man,push up every morn kwangu sio issue,kuwalk nikitoka job ni lazima, in 6*6 ni full burudani coz am fit style yoyote atakayotaka mumsap twende kaz.hongera sana kurucee kuwakumbusha wakaka wa mujini umuhu wa physical fitness
 

Hongera sana best kwa kuwa physically fit.
 
Kaonje uone. Usidharu ambacho hujakila. Unapata haki ya kutoa maoni baada ya kula. Kula kwanza no uje.
 
Kaonje uone. Usidharu ambacho hujakila. Unapata haki ya kutoa maoni baada ya kula. Kula kwanza no uje.
Nitakula vingapi? Nina kinyaa mie sionji ovyo ovyo.
 
Mmmhh... You guys are tisharing me!

Nowadays iam doing mazoezi evere mornin!

Imajin, i round 8 times uwanja wa mpira! Pushapu 30, squash za kutosha..! Balanced diet naipata!

Sasa kuna kitu kinjitokeza....! Product ya hayo yoote ninayofanya..!

Mmhh... Naogopa kuthema hapa!
You girls are gonna lough..!

Guys karibuni maziwa bana!
 

Una 6 pa.....au 8 pa.....?
 
Hahahaaa. Lmao. Ndo nini sasa?

*****, yani nilikuwa nimetoka gym nimeoga nimerest, baada ya kuiona hii thread, nikabadili nguo na kurudi tena kwa gym! maana lol nisije ambiwa siku hizi hunilabui tena vizuri! thanx my pal, atakayekuponda hajui umuhimu wa zoezi huyo!
 
*****, yani nilikuwa nimetoka gym nimeoga nimerest, baada ya kuiona hii thread, nikabadili nguo na kurudi tena kwa gym! maana lol nisije ambiwa siku hizi hunilabui tena vizuri! thanx my pal, atakayekuponda hajui umuhimu wa zoezi huyo!

Unalabua nini tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…