For men: Hivi hii imekaaje?

For men: Hivi hii imekaaje?

Inaonekana umekwenda shule lkn hujaelimika, uliona wapi mke mwema kaolewa na mume mwema? Siku zote mmoja anakuwa mwema na mwingine pasua kichwa. Au hujui siku zote mtu hupenda asipopendwa?
sijaelimika?kwa standards za kufikiri kwako au?
Wewe ndo huwezi kusoma btn the lines,nimekwambia context ya mume mwema na mke mwema kila mtu anayo kivyake,
kwa akili yako unaeza muona mtu sio mwema ila kwa macho ya mwenzi wake ni mwema..
Sijaongelea swala la utakatifu na sijui huko tu asikopendwa ndo aje..
Kama hua unapenda usikopendwa thats you
And siku nyingine uliza according to hoja ya mtu,sio kumattack personally,hakuna pahali mtu aliweka cv ake hapa kusema amesoma..
This is a forum,mtu anatoa hoja irrespective yuko na elimu kiasi gani au hana ndugu yangu..unajuaje nimesoma?
 

tatizo wanakiendekeza
kiungo chao cha uzazi hawana
lolote,kila dakika wanawaza pakutapikia!!
 
natamani kukutana na wewe uliye post hii kitu, nahisi kama umenisema mimi, au ni wewe kweli? for real me mpaka muda huu bado najuta kwa kufanya mambo yote uliyoandika hapo juu na kunifanya nimpoteze aliyekuwa mtarajiwa wangu, mpaka muda huu sijapata kama yeye na ikitokea amerudi au nimepata kama yeye itakuwa ndo mwisho wa ubachela na kuwa na wanawake wasio na umuhmu / ulazima!! naomba uni PM nikuambie kitu kama hutojali
 
Yaani mfano we kidume unaona labda watoto(wa kike) wakivaa sare za shule ndo wanakuchanganya,basi mnunulie huyu girlfriend(mchumba) wako za shule tofauti ili awe anavaa hizo!
Akivaa sare za shule ataonekana kama mhudumu wa baa, halafu haitampendeza kama madent wanavyotokelezea, Acheni WANAMUME tuifaidi dunia hii jamani.
 
Akivaa sare za shule ataonekana kama mhudumu wa baa, halafu haitampendeza kama madent wanavyotokelezea, Acheni WANAMUME tuifaidi dunia hii jamani.
Sare haidanganyi akili,
She should really be going to school,
Should realy be thinking and acting like denti,
 
Wanawake msilalamike hivi videsa nimuhimu sana vinaimalisha ndoa..maana ndo tunaend kupima. maunuzi huko.
 
Akivaa sare za shule ataonekana kama mhudumu wa baa, halafu haitampendeza kama madent wanavyotokelezea, Acheni WANAMUME tuifaidi dunia hii jamani.

Mfaidi mwisho mnaambulia ukimwi na magonjwa mengine ya zinaa unaenda kupachika hlo zgo la ugonjwa kwa mkeo/mchumba ako!
 
mwanamke ambaye ni "wife material" anaweza ondoka na kutafuta a better man. if he's not worth it, then dump his sorry
@$$

but you shld know kwamba kuna material boys and material hubbys.
sasa the lady has to assess herself ana mdate nani material boy he will kip jumping from one lady to another, under an umbrella of possession but material hubby he will stick to his family and his development manake to him hakuna jipya kwa ladies zaid ya stress tu.

but pia smtms haya mambo hayana formula ndo mana nimejiamulia kuwa single till death, i loved and i was hurted sana nikajifunza ku hate more than to love and am happy now, i dont love anyone as well as i hate who ever wants to be closer to me.
 

tatizo wanakiendekeza
kiungo chao cha uzazi hawana
lolote,kila dakika wanawaza pakutapikia!!

tatizo sio kuendekeza ila kila kiungo cha mwanamke kina mvuto mkali sana kwenye macho ya mwanaume,akikuangalia usoni,mapaja,katkat ya mapaj,hips zilivyokaa,ngozi yako laini yani tunakua hoi kwenu,halaf ndio ukute kibinti kinajilengesha kwa kweli
uvumilivu unatushindaga
mtusamehe bure sio rahis kama mnavyofikiria
 

mnajiendekeza bana
mmejijengea hulka,kila sketi ikipita
mwataka kujua zipu ya rangi gani,datz da problem!!
 
utakuta mwanaume ana girl friend mwenye tabia nzuri na ye anaona anafaa kua mke, alafu mwanaume uyo anakua na wanawake wengne ila anasema anakupenda wewe na ndo mke wake ivi hii ni sawa jaman..... mbaya zaidi humchuni unamwacha ili afanye maendeleo ila wakija hao anawahonga tu... jamani wanaume wenye tabia hii mbadilike mnaumiza sana

unamuonea huruma wengine wanajisevia kirahisi kula pesa wewe maisha yenyewe mafupi haya.
yaliwashinda adam na eva mapenzi utayawezea wapi wewe!!!!!!!!!!
 

mnajiendekeza bana
mmejijengea hulka,kila sketi ikipita
mwataka kujua zipu ya rangi gani,datz da problem!!

hebu angalia sasa hata majina yen mnavyojiita mara passion, salty,sijui sweety,charming,furahia sijui heaven on earth hapo bado hatujasikia sauti zenu nyororo
mnajua mnatakiwa kujiblame wenyewe mana nmnatuhamasisha mpk kila mda tunawafikiria yani hatupumui
 
hebu angalia sasa hata majina yen mnavyojiita mara passion, salty,sijui sweety,charming,furahia sijui heaven on earth hapo bado hatujasikia sauti zenu nyororo
mnajua mnatakiwa kujiblame wenyewe mana nmnatuhamasisha mpk kila mda tunawafikiria yani hatupumui

kumbe na majina hua
yanawahamasisha kungonoka?haa!!
 
utakuta mwanaume ana girl friend mwenye tabia nzuri na ye anaona anafaa kua mke, alafu mwanaume uyo anakua na wanawake wengne ila anasema anakupenda wewe na ndo mke wake ivi hii ni sawa jaman..... mbaya zaidi humchuni unamwacha ili afanye maendeleo ila wakija hao anawahonga tu... jamani wanaume wenye tabia hii mbadilike mnaumiza sana[/
inawezekana anakupenda sana kwa tabia yako ila kwa manjonjo upo nyuma na ndiyo maana anaruka nje kutafuta manjonjo! nifunze mbinu fulani fulani! kama usafi wa mwili wako hili ni la muhimu sana na mambo fulani fulani
 
Back
Top Bottom