mwananthropolojia
JF-Expert Member
- Oct 6, 2012
- 956
- 638
ndio kujiendekeza kwenyewe huko!!
ah ok! ila na nyie hamtamani kwani?
ndio kujiendekeza kwenyewe huko!!
ah ok! ila na nyie hamtamani kwani?
akhuuu jina
linitamanishe ili?
hahah ina mana hamtamani majina kama kakaJambazi,mwananthropolojia,ma b52
utakuta mwanaume ana girl friend mwenye tabia nzuri na ye anaona anafaa kua mke, alafu mwanaume uyo anakua na wanawake wengne ila anasema anakupenda wewe na ndo mke wake ivi hii ni sawa jaman..... mbaya zaidi humchuni unamwacha ili afanye maendeleo ila wakija hao anawahonga tu... jamani wanaume wenye tabia hii mbadilike mnaumiza sana