Busara Kali
Member
- Jan 7, 2021
- 59
- 77
Nini mtazamo wako juu ya mpangilio wa majukumu yahusuyo fedha kwa familia yenye mume, mke watoto na hawajajenga. Ishu za matumizi ya nyumbani, ada, malengo ya ujenzi n.k
Mtazamo wako juu ya financial responsibilities za nyumbani ikiwa wote wa2 wanavipatoUnataka tukueleze nini? Fafanua
Alafu pesa zake zinaenda wapi huyo mwanamke dada?Mwanaume mwenye pesa analipa ada, bills za nyumba, chakula, matibabu inafika hatua hata mwanamke anaona aibu au huruma kuomba hela ya cornflakes, socks au begi la madaftari, ananunua mwenyewe.
Usiulize kabisaaa....utanzisha ww3Alafu pesa zake zinaenda wapi huyo mwanamke dada?
Responsibilities Kwa silimia kubwa over 80% inaenda Kwa mwanaume labda kama mkeo Hana kipato Cha kuingiza, kwangu Mimi Masuala ya kula (msosi wa familia) ni jukumu langu mwenyewe, shule wife anachangia 25% ya ada za watoto, maendeleo tunachangia wote tukiamua kufanya jambo Fulani tunajadiliana na Kila Mmoja anachangiaMtazamo wako juu ya financial responsibilities za nyumbani ikiwa wote wa2 wanavipato
Huwa tunapendeza ili msichepuke pia tunaweka akiba. Kuna wakati unasikia mama mkwe ameanguka huko kijijini, unawahi kumpeleka hospitali. Unamnunualia na nightu dress, khanga, vitenge, mswaki, lotion sabuni na kataulo kidogo. Haya mambo wanaume hawaya kumbuki.Alafu pesa zake zinaenda wapi huyo mwanamke dada?
Na mwanaume asiye na hela...Tuanzie hapo..Mwanaume mwenye pesa analipa ada, bills za nyumba, chakula, matibabu inafika hatua hata mwanamke anaona aibu au huruma kuomba hela ya cornflakes, socks au begi la madaftari, ananunua mwenyewe.
Hapa ndipo usawa unapokuja, honest na uwazi ni lazima. Ukipata laki moja unamwambia mwenzako na mnaipangia matumizi.Na mwanaume asiye na hela...Tuanzie hapo..
Mimi ninafikiri wanaume tubebe tu majukumu yetu yote kama vichwa vya hizi familia zetu.inafika hatua hata mwanamke anaona aibu au huruma
Kwani mwanamke anakuwa anaendeleza familia ya nani?yake au Yao?Mama yake angeendeleza yao angekuwa wapi?Huwa tunapendeza ili msichepuke pia tunaweka akiba. Kuna wakati unasikia mama mkwe ameanguka huko kijijini, unawahi kumpeleka hospitali. Unamnunualia na nightu dress, khanga, vitenge, mswaki, lotion sabuni na kataulo kidogo. Haya mambo wanaume hawaya kumbuki.
Pia baba akikwambia hali yake ni ngumu unaweza kumsaidia na milioni 2-5.
Kwa mwanaume mwenye pesa na ameoa, majukumu ya mke kwa familia yake ni yapi?Hapa ndipo usawa unapokuja, honest na uwazi ni lazima. Ukipata laki moja unamwambia mwenzako na mnaipangia matumizi.