Foleni Morogoro Road muda huu ni kubwa kuliko

Foleni Morogoro Road muda huu ni kubwa kuliko

Ijumaa nilikuwa mzani mida ya sa 2 kasoro usiku ila cha ajabu nakuja kufika ubungo sa 7 usiku
 
Aisee morogoro road inazingua saana. Siku moja juz kati 20/11 nilikuwa naenda moro. Dsm nilitoka sa 10 yan chalinze tulifka sa tano usiku

Nasi siku moja tumetoka Kibaha saa 11 tumeingia Mbezi sa 5 usiku.
 
Tarehe 29.11.019
Nilitoka Dar es salaam Nakwenda Morogoro Saa 23:00 Hrs
Kufika Kibamba Haitembei Hadi Asubuhi Tarehe 30.11.019
Tulikuwa Njiani, Morogoro Tumefika Asubuhi
Mweee.
 
Kuna vitu vingine haviepukiki mkk usilaumu maderva
Tatizo madereva hawataki kufuata taratibu. Unakuta kuna lorry limeharibika.. hivyo inabidi kupita njia moja. Sasa u akuta uoande mmoja madereva wanayembea njia zote mbili hadi kwenye tatizo.

Siku moja kibamba kuna lorry liliharibika.. wanaotoka morogoro hawapiti na wanatoka dar hawapiti.. madereva wameziba njia zote hadi Mjeda mmoja alipo kuja na kudhibiti wanaotanua njia .


Tatizo la nchi hii ni kwamba elimu ya ustaraabu na uvukilivu ji ndogo sana.

Watanzania hawawezi kukaa kwenye foleni

Watanzania hawana subra.
 
Sasa kama unayalaumu malori unataka yapite wapi wakati deport za mizigo zipo kando ya Bahari.
Mngetoa solution badala ya lawama.
Tatizo kubwa ni malori, mengi yana feli, na ikitokea hivyo basi wenye haraka hukutana upande mmoja na kuziba njia. Nadhani wale wa kunyanyua/kuvuta magari hawajastukia hiyo biashara
 
Tokeni huko dar mje huku mikoani mle neema ya nchi ...


Nchi kubwa lakini bado mmegandiana kwenye hicho kipande Cha aridhi kandokando ya bahari ya Hindi ...



Tokeni haraka Kuna maeneo huku Yana hali ya hewa Safi mpaka unajishangaa kwanini ulikuwa unaishi kwenye taka za tandale na foleni za masaa 20 barabaran.
 
Back
Top Bottom