Ni zaidi ya balaa!
Nimetoka MAILI MOJA Saa 1 usiku na muda huu saa 22.51 nipo KILUVYA!
Mnaoenda Morogoro tumieni Kilwa Rd
Ni zaidi ya balaa!
Nimetoka MAILI MOJA Saa 1 usiku na muda huu saa 22.51 nipo KILUVYA!
Mnaoenda Morogoro tumieni Kilwa Rd
Hii ya leo haifai kabisa!
Sasa hv saa 23.12 ndio napita KIBAMBA
Halafu Mnaita daressalaam jijiAisee morogoro road inazingua saana. Siku moja juz kati 20/11 nilikuwa naenda moro. Dsm nilitoka sa 10 yan chalinze tulifka sa tano usiku
Folen mkuu ilikuwaUlipanda TRACTOR?
Ni zaidi ya balaa! Nimetoka MAILI MOJA Saa 1 usiku na muda huu saa 22.51 nipo KILUVYA!
Mnaoenda Morogoro tumieni Kilwa Road.
Jamani wadau wa Morogoro road, foleni imeitika tena kama jana. Leo mzigo umeanzia KWA MFIPA mpk PICHA YA NDEGE hapafai, gari za kwenda DSM zinanyata km Kobe!
Wale mnaoenda Mbezi ni bora miapitie MSATA kisha Bagamoyo!
Kuna foleni kuanzia Mwendapole mpaka Picha ya ndege haijawahi kutokea. Wanaokaa Mlandizi juzi walifika saa 7 usiku walitoka Mbezi saa moja jioni