Foleni Morogoro Road muda huu ni kubwa kuliko

Foleni Morogoro Road muda huu ni kubwa kuliko

Tatizo madereva hawataki kufuata taratibu. Unakuta kuna lorry limeharibika.. hivyo inabidi kupita njia moja. Sasa u akuta uoande mmoja madereva wanayembea njia zote mbili hadi kwenye tatizo.

Siku moja kibamba kuna lorry liliharibika.. wanaotoka morogoro hawapiti na wanatoka dar hawapiti.. madereva wameziba njia zote hadi Mjeda mmoja alipo kuja na kudhibiti wanaotanua njia .


Tatizo la nchi hii ni kwamba elimu ya ustaraabu na uvukilivu ji ndogo sana.

Watanzania hawawezi kukaa kwenye foleni

Watanzania hawana subra.

Ni zaidi ya balaa! Nimetoka Maili Moj Saa 1 usiku na muda huu saa 22.51 nipo KILUVYA!

Mnaoenda Morogoro tumieni Kilwa Road.
 
Tulikuwa ote!
Nilifika MBEZI saa 9, MLANDIZI nlitoka saa 1 usiku, nikaishia kula DAKU
Jana nimekaaa masaa manne kwenye foleni.

Hatari sana.
 
Watanzania hawana Uvumilivu!
Hawana subira
Tatizo madereva hawataki kufuata taratibu. Unakuta kuna lorry limeharibika.. hivyo inabidi kupita njia moja. Sasa u akuta uoande mmoja madereva wanayembea njia zote mbili hadi kwenye tatizo.

Siku moja kibamba kuna lorry liliharibika.. wanaotoka morogoro hawapiti na wanatoka dar hawapiti.. madereva wameziba njia zote hadi Mjeda mmoja alipo kuja na kudhibiti wanaotanua njia .


Tatizo la nchi hii ni kwamba elimu ya ustaraabu na uvukilivu ji ndogo sana.

Watanzania hawawezi kukaa kwenye foleni

Watanzania hawana subra.
 
Ndio maana Dar ilinishinda kitambo tu maana niliona najipunguzia siku zangu za kuishi duniani hapa bila sababu.
Jamani wadau wa Morogoro road, foleni imeitika tena kama jana. Leo mzigo umeanzia KWA MFIPA mpk PICHA YA NDEGE hapafai, gari za kwenda DSM zinanyata km Kobe!

Wale mnaoenda Mbezi ni bora miapitie MSATA kisha Bagamoyo!
Kuna foleni kuanzia Mwendapole mpaka Picha ya ndege haijawahi kutokea. Wanaokaa Mlandizi juzi walifika saa 7 usiku walitoka Mbezi saa moja jioni
 
Back
Top Bottom