Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,519
- 7,287
yaani ndo kwanza kibamba hapa,nasikia mizani gari hazipimi ili kupunguza foleni
_sijui mwanza tutafika saa ngapi
_
_
_
Dah kumbe unasafir...Mwanza labda saa 3 usiku
yaani ndo kwanza kibamba hapa,nasikia mizani gari hazipimi ili kupunguza foleni
_sijui mwanza tutafika saa ngapi
_
_
_
pole...kama unaweza kupita chochoro nyingine hata kama ni mzunguko mrefu sana ni afadhali kuliko ubungo mataa coz pale nahisi kuna kaibilisi kadogo
hii foleni ni balaa tangu saa 11.47 alfajiri niko ubungo Oilcom lakini muda wote huo hadi sa hivi 12.40 ndo nimefika ubungo plaza reporting time kazin ni saa moja na naelekea mjini lakin ndio kwanza niko hapa sijui nafika saa ngapi
huyu mwajiri atachoka kunielewa
mabasi yanayotoka stand kuu nayo yanaenda kupitia kule shekilango inazidi kuongeza msululu wa folen
nataman hata kupaa kwa kweli
Hahahaaa kuna mtu alishawahi kumpiga picha JINI pale mataa Ubungo
Mkuu cjui umefika wapi, ila ukifika kimara ingia barabara ya mwendo kasi, njoo nayo mpaka kona kisha subr folen uunge kuja town, leo folen inaanzia resort, hyo mpaka ubungo... Pole m imebidi ntumie njia hyo nshafika ofcn japo kwa kuchelewa..Mi ndio natoka kibamba nakuja posta nipite wapi maana mnanitisha
Daaa..! mkuu huyo jamaa naye ni nouma kama aliona jini na akapiga picha basi naye ni mtata.Hahahaaa kuna mtu alishawahi kumpiga picha JINI pale mataa Ubungo
Kwa bahati nzuri serikali ya CCM iko katika "mchakato" wa kutatua hili.
Yuko na gari lake anaendesha..,so ashuke aliache na hilo gari lake...,???Tembea kwa miguu. Ukitembea kwa mwendo wakawaida Ubungo hadi Mjini city center 45minutes.
siku nyingine ukiwa na safari uwnja wa ndegeYaani leo ilikuwa hatari pale Ubungo,mimi nilikuwa nawahi ndege ya asubuhi saa 07h00 nimefika kwenye foleni ya Ubungo saa 05h10 nimetoka pale Ubungo saa 06h10.Yaani imagine eti nipo foleni pale tena kwa mbele kidogo ya kituo cha Rombo eti nakaa saa nzima na madakika.Yule trafiki wa leo asubuhi pale Ubungo ni ms.nge sana kazi zimemshinda mpaka kidogo nichelewe safari yangu.
Daaa..! mkuu huyo jamaa naye ni nouma kama aliona jini na akapiga picha basi naye ni mtata.
Wewe Ndio unaishi Kimara? Halafu umehamia hivi karibuni? Na jina lako la JF linaanzia na herufi H? Nimeuliza tu
siku nyingine ukiwa na safari uwnja wa ndege
amka kitandani saa 8 usiku ili kuwahi ndege ya saa 1 asbh..
kaka au ulijisahau kuwa upo ulaya..,hii Dsalaaaam bhana..,
Kuna umuhimu wa kufikiria juu ya matumizi ya baiskel