Foleni Dar es Salaam

Foleni Dar es Salaam

Wewe Ndio unaishi Kimara? Halafu umehamia hivi karibuni? Na jina lako la JF linaanzia na herufi H? Nimeuliza tu

siishi Kimara.............. jina langu la Jf linaanzia na H ndio
 
mawaziri wanakaa oysterbay,masaki,mbezi digital,mikocheni huko hawapiti na wakipita king'ora kinafagia barabara.

Heh !!!! Kuna Mbezi digital ? hii yetu ya Kimara mitaiitaje ? msije mkaiita Mbezi analogue mtatuzeesha
 
tupo mbezi hapa pia kuna bonge ya foleni mbele tu ya kile kituo cha hiace kuna lori limeanguka magari yanageuza.
halafu huyu dreva analalamika amechoka amefika dar saa tisa usiku jana.dreva

mkuu mliondoka saa ngapi
 
Nimetoka kibamba saa 5 naelekea posta now ndio npo number shekilango foleni haitembei
 
Back
Top Bottom