RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,754
- 129,487
Heh !!!! Kuna Mbezi digital ? hii yetu ya Kimara mitaiitaje ? msije mkaiita Mbezi analogue mtatuzeesha
hio ni mbezi analogue!
Heh !!!! Kuna Mbezi digital ? hii yetu ya Kimara mitaiitaje ? msije mkaiita Mbezi analogue mtatuzeesha
hii foleni ni balaa tangu saa 11.47 alfajiri niko ubungo Oilcom lakini muda wote huo hadi sa hivi 12.40 ndo nimefika ubungo plaza reporting time kazin ni saa moja na naelekea mjini lakin ndio kwanza niko hapa sijui nafika saa ngapi
huyu mwajiri atachoka kunielewa
mabasi yanayotoka stand kuu nayo yanaenda kupitia kule shekilango inazidi kuongeza msululu wa folen
nataman hata kupaa kwa kweli
it's crazy njia zote zimefunga huu ujenzi na ukamilike tu
Nimetoka kibaha mail moja saa 12.30 asbh town saa 9.45 alasiri sasa kama ndo umeajiriwa barua si unaikuta getini
waatalamu ebu tafitini mtueleze n I mabiion mangapi yapoteayojuu ya hii foleni
Mkuu kweli kama hali yenyewe ndio hii basi ktk jiji letu nusu ni watu na nusu nimajini bila shaka maombi yanahitajika tena sana.
mkandarasi anae tengeneza barabara ya Morogoro anaboresha service road kwa ajili ya waendao kwa miguu,kwa hiyo dawa ni kutembea
Bila serikali kuacha tabia ya kutaka kilakitu kiwe huko mtaishia kukaa barabaran kuchat na sm na kusoma magazet! Polen sana mi nakaa km 17 kutoka ninakopatia riziki ila huwa natumia robo saa tu kwa mwendo wa kawaidahii foleni ni balaa tangu saa 11.47 alfajiri niko ubungo Oilcom lakini muda wote huo hadi sa hivi 12.40 ndo nimefika ubungo plaza reporting time kazin ni saa moja na naelekea mjini lakin ndio kwanza niko hapa sijui nafika saa ngapi
huyu mwajiri atachoka kunielewa
mabasi yanayotoka stand kuu nayo yanaenda kupitia kule shekilango inazidi kuongeza msululu wa folen
nataman hata kupaa kwa kweli
Bila serikali kuacha tabia ya kutaka kilakitu kiwe huko mtaishia kukaa barabaran kuchat na sm na kusoma magazet!
haha mie huo muda nakuwaga busy Jf tu ndio naonaga at least nitafika niendako