Foleni Dar es Salaam

Foleni Dar es Salaam

hii foleni ni balaa tangu saa 11.47 alfajiri niko ubungo Oilcom lakini muda wote huo hadi sa hivi 12.40 ndo nimefika ubungo plaza reporting time kazin ni saa moja na naelekea mjini lakin ndio kwanza niko hapa sijui nafika saa ngapi
huyu mwajiri atachoka kunielewa

mabasi yanayotoka stand kuu nayo yanaenda kupitia kule shekilango inazidi kuongeza msululu wa folen


nataman hata kupaa kwa kweli

huko nje ya mji waachieni wastaafu....vijana njooni huku sinza,kijitonyama,mwenge,makumbusho etc....sasa huko kiluvya sijui kibamba bata huwa mnakula wapi??chalinze?!
 
Nimetoka kibaha mail moja saa 12.30 asbh town saa 9.45 alasiri sasa kama ndo umeajiriwa barua si unaikuta getini

waatalamu ebu tafitini mtueleze n I mabiion mangapi yapoteayojuu ya hii foleni
 
Nimetoka kibaha mail moja saa 12.30 asbh town saa 9.45 alasiri sasa kama ndo umeajiriwa barua si unaikuta getini

waatalamu ebu tafitini mtueleze n I mabiion mangapi yapoteayojuu ya hii foleni

eeeehhhhhhh!!!!! hii safari ya dar-london!!!
 
leo jion ndio kimbembe unaweza kurudi home hata ham ya Ku do imeisha cos of uchovu
 
Planet Thaleem 2013 - grey wastes.jpg
Mkuu kweli kama hali yenyewe ndio hii basi ktk jiji letu nusu ni watu na nusu nimajini bila shaka maombi yanahitajika tena sana.
 
mkandarasi anae tengeneza barabara ya Morogoro anaboresha service road kwa ajili ya waendao kwa miguu,kwa hiyo dawa ni kutembea
 
hii foleni ni balaa tangu saa 11.47 alfajiri niko ubungo Oilcom lakini muda wote huo hadi sa hivi 12.40 ndo nimefika ubungo plaza reporting time kazin ni saa moja na naelekea mjini lakin ndio kwanza niko hapa sijui nafika saa ngapi
huyu mwajiri atachoka kunielewa

mabasi yanayotoka stand kuu nayo yanaenda kupitia kule shekilango inazidi kuongeza msululu wa folen


nataman hata kupaa kwa kweli
Bila serikali kuacha tabia ya kutaka kilakitu kiwe huko mtaishia kukaa barabaran kuchat na sm na kusoma magazet! Polen sana mi nakaa km 17 kutoka ninakopatia riziki ila huwa natumia robo saa tu kwa mwendo wa kawaida
 
Bila serikali kuacha tabia ya kutaka kilakitu kiwe huko mtaishia kukaa barabaran kuchat na sm na kusoma magazet!

haha mie huo muda nakuwaga busy Jf tu ndio naonaga at least nitafika niendako
 

Attachments

  • 1402930902093.jpg
    1402930902093.jpg
    49.4 KB · Views: 95
Wakitaka foleni iishe inabid watangaze sikukuu kila siku au wazuie magari kuingia mjini, hakuna wanaloweza fanya kwa sasa kuondoa folen
 
Back
Top Bottom