Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,737
- 18,920
Yeye ndo kila kitu hujasikia Dodoma anataka kubadili specification za majengo ya umma lisiwekwe lifti wakati yeye anapoishi pana lifti
Yeye ndo kila kitu hujasikia Dodoma anataka kubadili specification za majengo ya umma lisiwekwe lifti wakati yeye anapoishi pana lifti
Ni ya hovyo sanaHivi ndio kusema hawa viongozi wetu wanapotembelea nchi za wenzetu huwa hawapiti barabarani na kuziona hizo flyover za wenzetu zilivyozunguka kama nyoka? Mie nilidhani daraja la Mfugale walilijenga hivyo kutokana na ufinyu wa nafasi lakini nashangaa hadi interchange ya Ubungo nayo inajengwa kishamba tena.
Waende basi hata hapo South Africa wakaone jinsi mizunguko ya flyover ilivyozungushwa.
Kwani hili neno flyover watu wamelitoa wapi?? maana mimi nilisoma kile kibao alicho fungua magufuli kimeandikwa Daraja la mfugale au ndio tusema daraja likiwa ju ju linaitwa flyover?
Kweli mkuu maana si kwa kujipendekeza kiasi hicho. Mie nikadhani mimi peke yangu ndio nimenotice intention ya huyu fala. Amfuate PM basi asitufanye wote hapa wapuuzi kama yeye.
Mnaropokwaga tu, hata hamjui procedures.Yeye ndo kila kitu hujasikia Dodoma anataka kubadili specification za majengo ya umma lisiwekwe lifti wakati yeye anapoishi pana lifti
Na weww mwenyewe umeropoka sasa hizo procedure unazozijua wewe ziko wapi? Ziweke hapa ili ujitofautisha kati ya mropokaji na unaejua sheria...
Sina huo muda mchafu, endelea kuropokwa.Na weww mwenyewe umeropoka sasa hizo procedure unazozijua wewe ziko wapi? Ziweke hapa ili ujitofautisha kati ya mropokaji na unaejua sheria...
Huu ujinga umsomea wapi mkuu? Kwa nini uakariri ungali mtu mzima hivyo?Ilitakiwa mtu akiwa anatoka upande wowote aweze kupita juu kama yupo speed na aelekee uelekeo wowote anaoutaka na akijichanganya tu ajikute ametokea siko na sio tu mtu anayetoka kimara au mjini/ Buguruni au Mwenge ndio apite juu. Ilitakiwa kupita barabara ya chini iwe ni choice ya mtu na sio kulazimishwa na njia.
Mie ile dizaini ya kwanza naona ndo ilikuwa ya Hovyo,bora hii Sasa ipo simple less expensive,halafu effective.Kwenye dizaini ya mwanzo ile ghorofa ya kwanza gari ilibidi zisubiriane.Dizaini mpya ina round about kubwa kwa chini halafu gorofa ya kwanza na pili gari Wala hazisimani.Mie naona dizaini iko poa tu haina mbwembweHata mimi mpaka leo sijawaelewa kwa nini walibadilisha hii....wakati jiwe anasema fedha zipo....nasikia hata ile ya mfugale ilibadilishwa juu kwa juu ila isingekuwa vile.....Ubungo hawajengi tena Flyover bali wanajenga madaraja ya juu.Makandarasi wa ovyo kabisa hawa.
Kituo cha Mwendokasi Ubungo maji sioni umuhimu wake wangekivunja tu,kitumike cha Terminal basiPale Ubungo naamini kutakuja kuwa shida kuu mbili labda kama kuna ufumbuzi tayari
1. Kituo cha BRT kilichopo upande wa Tanesco kipo karibu sana na mdomo wa daraja, mahali ambapo kutakuwa na movemwnts za watu wanaoingia na kutoka kituoni kwa kivuko cha pundamilia. Hili litaepukika kama kuna mpango wa daraja la waenda kwa miguu.
2. Kuna uwezekano kukatokezea foleni mpya kwa magari yanayotoka Kimara kwenda mjini nyakati za asubuhi, maana kutakuwa na kikwazo kipya nacho ni taa za Shekilango/UBC na hata za Urafiki. Najua wanaweza wakawekwa askari waongoza magari (suluhisho la muda mfupi)
Angalia mfuko aiseee siku hizi lango la jiji ni huko kibamba na MbeziKwa kweli pale Ubungo palitakiwa kuwa na fly-over nzuri maana ndio lango la jiji kwa sasa.