Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,689
- 26,568
Mkataba uliosainiwa ulikuwa ni flyover ya ghorofa tatu na World Bank wakakubali kuchangia gharama za ujenzi. Jamaa amejifungia na Mfugale wake wakabadilisha mchori na kuweka ghorofa mbili badala ya tatu.Ulitaka wajenge vipi???? Usilazimishe kupaa wakati uwezo wako ni kutambaa.
🏃♂️🏃♂️
Pale Ubungo ilikuwa pasiwe na mataa lakini sasa hivi wanakwenda kuweka round about na mataa hivyo magari yatasubiriana kama kawaida.