Flyover ya Ubungo ya kishamba sana

Flyover ya Ubungo ya kishamba sana

Ukimalizika ujenzi Wa awamu ya kwanza,inaongezwa gorofa moja juu..kwa hiyo msiwe na wasiwasi.
 
kuna taharifa kwamba hii kitu ilibadilishwa kimyakimya ..ilitakiwa kuwa hiviView attachment 1289197
Hata mimi mpaka leo sijawaelewa kwa nini walibadilisha hii....wakati jiwe anasema fedha zipo....nasikia hata ile ya mfugale ilibadilishwa juu kwa juu ila isingekuwa vile.....Ubungo hawajengi tena Flyover bali wanajenga madaraja ya juu.Makandarasi wa ovyo kabisa hawa.
 
Hivi ndio kusema hawa viongozi wetu wanapotembelea nchi za wenzetu huwa hawapiti barabarani na kuziona hizo flyover za wenzetu zilivyozunguka kama nyoka? Mie nilidhani daraja la Mfugale walilijenga hivyo kutokana na ufinyu wa nafasi lakini nashangaa hadi interchange ya Ubungo nayo inajengwa kishamba tena.

Waende basi hata hapo South Africa wakaone jinsi mizunguko ya flyover ilivyozungushwa.

Tutumie picha ya nyumba yako unayoishi tuone kama ya kijanja - unapenda kuvidunisha vitu kama umezaliwa USA.
 
Nadhani vijisenti vyetu vinatosha kwa kinachojengwa ubungo,angalau kidogo sio Kama tazara
 
Ndio maana uamuzi wa kubomoa jengo la Tanesco nao ulikuwa uamuzi wa kibwege sana. Hakukuwa na umuhimu huo kutokana na kinachojengwa hapo. Na hayo ndiyo matatizo ya mtu mmoja kujiona ana akili kuliko wengine au ulevi wa madaraka uliokithiri.
 
Hivi ndio kusema hawa viongozi wetu wanapotembelea nchi za wenzetu huwa hawapiti barabarani na kuziona hizo flyover za wenzetu zilivyozunguka kama nyoka? Mie nilidhani daraja la Mfugale walilijenga hivyo kutokana na ufinyu wa nafasi lakini nashangaa hadi interchange ya Ubungo nayo inajengwa kishamba tena.

Waende basi hata hapo South Africa wakaone jinsi mizunguko ya flyover ilivyozungushwa.
Insue siyo viongozi, ni wahandisi....!
Na pia inategemeana na eneo lilivyokaa......
 
Yaap!... Interchange ya Kigamboni iko kwenye kiwango cha kimataifa ingawa haivumi sana.
Yani ile ya Kigamboni ingejengwa awamu hii tungekoma kwa kelele maana imekaa vizuri sana ajabu huyu jamaa na ujenzi wote lakini hawezi kujenga kwa kiwango kile
 
Yaap!... Interchange ya Kigamboni iko kwenye kiwango cha kimataifa ingawa haivumi sana.
Yani ile ya Kigamboni ingejengwa awamu hii tungekoma kwa kelele maana imekaa vizuri sana ajabu huyu jamaa na ujenzi wote lakini hawezi kujenga kwa kiwango kile
 
Hivi ndio kusema hawa viongozi wetu wanapotembelea nchi za wenzetu huwa hawapiti barabarani na kuziona hizo flyover za wenzetu zilivyozunguka kama nyoka? Mie nilidhani daraja la Mfugale walilijenga hivyo kutokana na ufinyu wa nafasi lakini nashangaa hadi interchange ya Ubungo nayo inajengwa kishamba tena.

Waende basi hata hapo South Africa wakaone jinsi mizunguko ya flyover ilivyozungushwa.
Mimi ninadhani ingefaa wewe upewe kazi hiyo na utafute pesa za kujenga barabara za aina hiyo.
 
Design halisi ya interchange ya ubungo ilibadilishwa inayojengwa ni proposal ya mkandarasi na ilileta mkanganyiko Sana kuikubali ya mchina na kuipiga chini.Design ya mfugale ilikuwa na round about kwa juu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafasi iliyopo pale ni ndogo sana kujenga design ambayo ni complicated. Hata hivyo wamejitahidi kwa nafasi ile. Interchange inahitaji nafasi zaidi ya ile iliyopo. Kujenga kubwa zaidi wangehitaji kuona kipande chote cha TANESCO, SONGAS, Ubungo stendi yote iondoke pamoja na kituo cha mwendo kasi, Mpaka pengine kule urafiki/Shekilango, na kurudi Sheli na TBS pale ingebidi zote ziondoke. Tuwapongeze kwa walichofanya ile nafasi ni finyu sana
 
Yàni hata pale njia panda ya kuelekea kwenye daraja la kigamboni pamejengwa vizuri kuliko haya matuta ya mfugale na ubungo..tatizo kubwa anaetoa maamuzi hua hasafiri hivyo exposure ni 0
Mbona hauhitaji kuwa na akili ya Einstein kujuwa pale daraja la Kigamboni hakukuwa na barabara kuu na majengo mengi ya thamani kabla ya kujengwa lile daraja?
Pamoja na tatizo la fedha shida ya kukosa nafasi imechangia Ubungo na Tazara kujengwa vile.
 
Lengo la kuu la flyover ya Ubungo ni kupunguza foleni? Sasa wewe mleta mada hebu tueleze kile kinachojengwa Ubungo sasa hivi hakitafanikisha lengo?
Kuna wanaojenga na wengine wanachafua mazingira
 
Hivi ndio kusema hawa viongozi wetu wanapotembelea nchi za wenzetu huwa hawapiti barabarani na kuziona hizo flyover za wenzetu zilivyozunguka kama nyoka? Mie nilidhani daraja la Mfugale walilijenga hivyo kutokana na ufinyu wa nafasi lakini nashangaa hadi interchange ya Ubungo nayo inajengwa kishamba tena.

Waende basi hata hapo South Africa wakaone jinsi mizunguko ya flyover ilivyozungushwa.
isee nimeona pale kuna gari zitabaki kuwa kileleni daima,yani juu mawinguni chiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
Hivi ndio kusema hawa viongozi wetu wanapotembelea nchi za wenzetu huwa hawapiti barabarani na kuziona hizo flyover za wenzetu zilivyozunguka kama nyoka? Mie nilidhani daraja la Mfugale walilijenga hivyo kutokana na ufinyu wa nafasi lakini nashangaa hadi interchange ya Ubungo nayo inajengwa kishamba tena.

Waende basi hata hapo South Africa wakaone jinsi mizunguko ya flyover ilivyozungushwa.
South mbali waende tu hapo Kenya waone wenzetu wamefanyaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yàni hata pale njia panda ya kuelekea kwenye daraja la kigamboni pamejengwa vizuri kuliko haya matuta ya mfugale na ubungo..tatizo kubwa anaetoa maamuzi hua hasafiri hivyo exposure ni 0
Kwan mtoa maamuzi ndio designer na engineet at de same time?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom