Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,332
- 3,018
Hata zingejengwa unavyotaka bado wangekuja wengine na kulalamika wakidai flyover za nini wakati vijijini hakuna barabara.Hivi ndio kusema hawa viongozi wetu wanapotembelea nchi za wenzetu huwa hawapiti barabarani na kuziona hizo flyover za wenzetu zilivyozunguka Kama nyoka? Mie nilidhani daraja la mfugale walilijenga hivyo kutokana na ufinyu wa nafasi lakini nashangaa hadi interchange ya Ubungo nayo inajengwa kishamba tena. Waende Basi hata hapo South Africa wakaone jinsi mizunguko ya flyover ilivyozungushwa.
hvi kweli mtu mzima unakuja kulalamika flyover sjui hazijazunguka kama nyoka kweli???


.sasa imekuaje ama hakutembea town aliishia ikulu akarudi airport nduki
sasa imekuaje ama hakutembea town aliishia ikulu akarudi airport nduki
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasemekana wamejaa daresalamandugu lawama
Pamoja na kuweka avatar ya dada mrembo kumbe upo hovyo hivyo? Kwa hiyo kama zipo za aina tofautitofauti ndio ujenge yenye utofauti wa hovyo? Kwa nini usijenge yenye utofauti wa kisasa na yenye kuwezesha kuelekea pande zote? Hii inayojengwa huwezi kupita juu kama unatokea Kimara kwenda Buguruni hivyo hivyo huwezi kupita juu kama unatokea mjini kwenda Mwenge au Buguruni. Kwa hiyo huo ndio utofauti unaousema?!!!! Hopeless kabisa.We mtoa mada ndo mshamba. Unahisi flyovers zipo za aina moja? Zipo za aina nyingi na hiyo ya Ubungo ni aina moja wapo. Sio lazima zote zifanane.
Hata ukienda Tokyo, Seoul nk utaona zipo za aina nyingi na sio aina moja tu.
Hah ha huyo anaona flyover za kwenye runinga,mwisho sana kasafiri ni Ubungo
Pamoja na kuweka avatar ya dada mrembo kumbe upo hovyo hivyo? Kwa hiyo kama zipo za aina tofautitofauti ndio ujenge yenye utofauti wa hovyo? Kwa nini usijenge yenye utofauti wa kisasa na yenye kuwezesha kuelekea pande zote? Hii inayojengwa huwezi kupita juu kama unatokea Kimara kwenda Buguruni hivyo hivyo huwezi kupita juu kama unatokea mjini kwenda Mwenge au Buguruni. Kwa hiyo huo ndio utofauti unaousema?!!!! Hopeless kabisa.
Elimu yako degree chuo ulichosoma Udsm yaani hata kutengeneza njia ya kwenda chooni hujui etc unasema ya kishaba. Hiyo ya kimjini kajenge Kwa baba yakoHivi ndio kusema hawa viongozi wetu wanapotembelea nchi za wenzetu huwa hawapiti barabarani na kuziona hizo flyover za wenzetu zilivyozunguka Kama nyoka? Mie nilidhani daraja la mfugale walilijenga hivyo kutokana na ufinyu wa nafasi lakini nashangaa hadi interchange ya Ubungo nayo inajengwa kishamba tena. Waende Basi hata hapo South Africa wakaone jinsi mizunguko ya flyover ilivyozungushwa.
Hahah. Mkuu hawa jamaa ambao hawajawahi fika hata kenya wana matatizo sana. Yaani anaangalia kwenye google picha alafu anakuja kupiga kelele hapa. Hata sgr huwa wanalalamika hivi hivi wakati ile njia ndio ndio sgr na train ni vitu viwili tifautiWe mtoa mada ndo mshamba. Unahisi flyovers zipo za aina moja? Zipo za aina nyingi na hiyo ya Ubungo ni aina moja wapo. Sio lazima zote zifanane.
Hata ukienda Tokyo, Seoul nk utaona zipo za aina nyingi na sio aina moja tu.
Wewe hutaki kupita juu?Kumbe shida yenu ni kupita juu!!!
Hii ni ya Hovyo zaidi bora Ile ambayo imejengwakuna taharifa kwamba hii kitu ilibadilishwa kimyakimya ..ilitakiwa kuwa hiviView attachment 1289197