kui
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 6,467
- 6,500
Vipi, leo hutaki ku-bet na mimi weye mtu?.
Mh!, utanidhulum tu, wenyewe hao ndo nimewaona majuzi tu kwenye picha!
Vipi, leo hutaki ku-bet na mimi weye mtu?.
acha uoga dogo tafuta bar yeyote ukesheWakuu yeyote anayejua tunapoweza kuona live stream, maana mida hiyo kuwa bar kuangalia supersport ni issue.Msaada tafadhari.Na ukitoka tufanyie hisani mtoa mada kuweka juu pale.
Huyo Marquez alifanikiwa kufanya hivyo baada ya kuchapwa mara 3 mfululizo tena kwa KO.Km Marquez alimchapa Paqc kwa KO mbaya kabisa kwanini Floyd Mayweather ashindwa na ana ngumi nzito kuliko Paqc?
Huyo Marquez alifanikiwa kufanya hivyo baada ya kuchapwa mara 3 mfululizo tena kwa KO.
Mkuu wewe unaamini nini kwani? In fact if Pacman loses it should strengthen ur faith!Un-holy vs Holy, on a Sunday. Asiposhinda Manny nitajiuliza maswali mengi sana kuhusu imani niliyokua nayo.
Hata wewe ukishinda mara nyingi sana kibinadamu kuna ile hali ya kusema nitashinda tu hata sasa kumbe mpinzani unakuta kajiandaa haswa. Inatokea, it was a mistake on Pac's side ila alirudi vizuri.Nafahamu sn lkn KO ya Marques ilikua hatari huyo Paqc angekufa.
Nafahamu sn lkn KO ya Marques ilikua hatari huyo Paqc angekufa.
Hivi hili pambano litachukua mda gani
Myweather lazima apigwe!
Un-holy vs Holy, on a Sunday. Asiposhinda Manny nitajiuliza maswali mengi sana kuhusu imani niliyokua nayo.
mtaumia sana leo
Team Money all the way