Atawezana na Azam kweli huyu mwamba! Maana kuna wakati atashangaa tu wachezaji wake wote wana vitambi kutokana na kubweteka na pia kukosa malengo ya msimu.
Tatizo la AZAM Siyo kocha.
Tausi hakuwa kocha mbaya hata kidogo
Dabo alikuwa bonge la kocha la kisasa kabisa aliishia wapi?
Azam kuna tatuzo na tatizo lipo kariakoo
Karibu ibenge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.