ibenge

Jean-Florent Ikwange Ibengé (born 4 December 1961) is a Congolese football coach and former player who manages Sudanese club Al-Hilal Club.

View More On Wikipedia.org
  1. kalisheshe

    Ni muda wa Simba SC kumchukua kocha Florent Ibenge

    Kama ni kweli kocha Benchika anaondoka mwisho wa msimu, hakuna haja tena ya simba kutafuta kocha kutoka mbali au kocha mwenye rangi nyeupe. Ibenge ni mmoja kati ya makocha wenye CV kubwa barani Africa, kinachomuongezea faida ni ubora wake katika kuwajua wachezaji na kulijua vyema soka la africa...
  2. William Mshumbusi

    Matajili Azam nawakumbusha Ibenge yupo tu. Au Asec wana kocha mzuri sana hawana hela

    Eti matajiri wanaokota mtu cheap kabisa wanampa timu. Ukiangalia CV yake yote kafundisha timu za under 20 tu. Timu za watoto wa damu changa na akili ndogo kabisa unategemea ataleta nini kwa klabu kongwe. Leo mnataka miujiza gani. Aliyekula asilmia hapa Hana huruma kabisa. Timu bovu kuliko...
  3. JanguKamaJangu

    Hatimaye Kocha Nabi anaondoka Yanga, amemaliza mkataba na kupata dili kwingine

    Taarifa za uhakika kutoka ndani ya Klabu ya Yanga ni kuwa Kocha wa kikosi cha Wanajangwani hao, Nasreddine Nabi amemaliza mkataba wake na ameamua kuondoka kwenda kutafuta maisha mengine. Yanga inatarajiwa kutangaza muda wowote juu ya kuachana na kocha hiyo ambaye ameipa mafanikio makubwa...
  4. ankol

    Tetesi: Florent Ibenge karibu Jangwani

    Salaam wananchi, Tetesi Zilizonifikia ni kuwa kocha maarufu Florent Ibenge, ambaye ashawahi ikoach RS Berkane na Al Hilal ndio mbadala wa kocha Nasredeen Nabi ambaye anatimkia South Africa. Vipi ataweza ama atazingua?
  5. AbaMukulu

    Njia nyeupe kwa Florent Ibenge kutua Azam FC

    Hali ya usalama imezidi kuzorota nchini Sudan baada ya kutokea mapigano ya wenyewe kwa wenyewe. Kila shughuli ya kibinadamu imesimama. Wasiohusika na vita wanakimbia kunusuru maisha yao. Hali hiyo imesababisha Kocha wa Al Hilal ya nchini humo kukimbia. Hii inafungua neema kwa klabu ya Azam FC...
  6. Izy_Name

    Azam inamtaka Ibenge

    Wakati Azam FC ikibakiza mechi tano kumaliza msimu wa Ligi Kuu Bara, tayari imeanza kimyakimya kutafuta kocha mpya atakayeiongoza msimu ujao ambao imepania kutwaa ubingwa huku kocha wa Al Hilal ya Sudan, Mkongomani Florent Ibenge akitajwa kutinga kikosini hapo ndani ya kipindi hiki cha mwisho wa...
Back
Top Bottom