Flora Mbasha kufunga ndoa wiki ijayo

Kwa maslahi ya neno la Mungu na Mungu mwenyewe, Flora Mbasha aache kwanza kuimba nyimbo za Injili. Ni aibu kubwa, na hasa ukizingatia kuwa kesi dhidi ya ex-husband wake ilikuwa na figisufigisu zinazoonyesha kuwa hata yeye mwenyewe alihusika. Aache kumtania MUNGU, YEHOVA.
 
Kwa maslahi ya neno la Mungu na Mungu mwenyewe, Flora Mbasha aache kwanza kuimba nyimbo za Injili. Ni aibu kubwa, na hasa ukizingatia kuwa kesi dhidi ya ex-husband wake ilikuwa na figisufigisu zinazoonyesha kuwa hata yeye mwenyewe alihusika. Aache kumtania MUNGU, YEHOVA.
Kwani toka awali alikuwa akiimba kwa ajili ya Mungu au kwa ajili ya soko. Mungu anasema hata 'mawe' yaweza kumuimbia utukufu. Kwani tunajua status ya ukiroho wa kila muimbaji, hata wale wanaoimba makanisani mwetu? Njia rahisi ni kujiepusha kufanya hukumu.
 
Ukute madam kamvumilia sana Mbasha mengine hawezi sema. Ukute jamaa ana kibamia au mnara unanyanyuka kwa majira. Kwenye ndoa za watu kuna mambo mengi sana watu wameyaficha moyoni. Kwahiyo msimlaumu sana Frola kwa uamuzi wake.
kwani huyo anaeenda olewa nae anajua ana mapungufu gani au ndo bahat na sibu ina maana akimkuta mbaya zaid itakuaje? isitoshe hajakaa mda mrefu toka adivorce anajump kwa kakijana kengine hata maumiv hajasahau hii ni hatari kwake.ni mtazamo tu
 
Biblia inasisitiza sana kusameheana na inasema asiye samehe wengine bila kujali aina ya kosa, basi hata yeye Mungu hatamsamehe mtu huyo.

Kuhusu kisa cha hawa wawili, Flora ndiye aliye mwacha Emma, wakati ule Emma alimbembeleza sana Flora wasahau tofauti zao warudi waishi kwenye ndoa yao lakini Flora alikataaa kata kata hata kumtia aibu mumewe. Wakati huo Flora alikuwa anahatia mbele za Mungu kwa kuvunja ndoa na kukataa msamaha wa mumewe.
maana biblia inasema mtu akikosa hata saba
mara sabini kwa siku akija na kuomba msamaha, msamehe.

Baada ya kesi kwisha, Flora alimtaka mume wake amsamehe warudiane, kakini Emma alikataa katakata. Hivyo hatia ikageuka kwa Emma.

Kwa sababu hiyo Flora amehesabiwa haki kwa sababu aliomba msamaha kabla Emma hajaoa lakini Emma alikataa, kibiblia hata Mungu hajamsamehe Emma dhambi zake kwa kukataa kumsamehe Flora. hivyo Emma anahesabiwa kama mdhambi tu aliye amua kumwacha mkewe.

Hivyo Flora aliye tubu anapata uhalali wa kuolewa kwa neno linalosema:- yeye asiye amini akitaka kuondoka na aondoke, ndipo huyo ndugu mume au mke yu huru.

mh kumbe ni rahisi ivo kuvunja! bado haihalalishh mbona adam alivomwambia Mungu c mimi bal ni huyu mwanamke ulienipa aliwaadhibu wote? ni suala la Muda wangepeana wangerudiana bt mke kashaharibu

Kwa sasa Flora yuko huru
kuolewa kwa sababu Emma kamwacha kwa kukataa kumsamehe pale Flora alipoomba Emma amsamehe warudiane.

Emma atabaki na hatia.

Biblia inasema heri kuoa au kuolewa kuliko kuwaka tamaa. Flora bado kijana sana. Hana hatia kabisa mwacheni aolewe amtumikie Mungu vizuri.

HAPPY WEDDING FLORA.
 
IMG-20170427-WA0016.jpg
 
Kila mtu na imani yake ndugu, tuacheni kujivika utakatifu wa kujikalilisha. Hao wachungaji, mapadri na mashekhe wengi tu nishawahi kuwaona wakiwa na nyumba ndogo na ufuska kibao. Ulitaka Flora aishii maisha ya ki lesbians? Nashangaa sana watu mmeshupalia jambo la kawaida tu. Tena nikujulishe tu kuwa huyo kijana ni jirani yangu na wako na mahusiano kitambo hivyo hawajakurupuka. Hivi ni lini mara ya mwisho wewe umefanya sex na kwa nini? Pia ulitaka madam Flora aishi kama Watawa na wakati si Mtawa?
haha kumbe akiwa kwa ndoa na kuchepuka?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom