Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,104
- 4,738
Facts! When its too much karma don't take long to serve your favorite mealKarma has everyone's address.
Karma has no deadline.
Karma has no menu. You get served what you deserve.
Facts! When its too much karma don't take long to serve your favorite mealKarma has everyone's address.
Karma has no deadline.
Karma has no menu. You get served what you deserve.
Mkuu kwani mume wake kafaMwache aolewe, hana mume, maana kifo kilishawatenga, kwa hiyo yuko huru.
Ni kweli.Mungu anachukia kuachana
Kweli kabisa.uzinzi ukiwa ndio ishu basi na waachane tu japo Mungu huchukia kuachana
Mh!NDOA nyingi sn za kibongo bongo zilishakufa huku bado zimesimama kutokana kubwa sababu uzinzi au simply michepuo, ila mijitu inahemea juu juu kutaka sifa nina ndoa kumbe ni usaliti tu unaoendelea ndani ya nyumba ngozi nyeusi haiwezi kukeep promise.sasa frola kaamua kuishi uhalisia wa kiafrika na uhalisia wake watu hatutaki. Tungependa kusikia kampakazia mtt mbasha na waendelee na ndoa ya unafiki. Ndoa za siku hizi ni kiza kinene yaan km bongo movie vile. Wazingu ndio kidogo wanaweza kukeep promise hivi mbongo anaweza kutomba k moja milele. Acheni usenge bora anayetubu kuliko kujificha
Acha kuchafua watu,hivi unavyosema waimbaji wa nyimbo za injili ni wahuni unamanisha nini? Nafahamu vipo vipengele vinavyoweza kutumika kuvunja ndoa yoyote ile.Kweli machangudoa wapo kila sehemu, Kumbe hata waimba nyimbo za enjili nao ni wahuni kiasi hili? Hivi hao wanaokwenda kumsikiliza Frola wanaupako sawa sawa? Tangu lini NDOA iliyofungwa kanisani ikavunjwa na mahakama na bado ukenda olewa tena?