Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,125
- 8,627
Sasa kama haipo ndoa ya kikristo ya mara mbili mbili hiyo hapo sasa ya FloraHakuna ndoa za Kikristo za Mara mbili mbili.
Sasa kama haipo ndoa ya kikristo ya mara mbili mbili hiyo hapo sasa ya FloraHakuna ndoa za Kikristo za Mara mbili mbili.
BATILI. Hawa wachungaji njaa najua watapindisha maandiko kwa maslahi yao na matumbo yao nakuitangaza ni HALALI.Sasa kama haipo ndoa ya kikristo ya mara mbili mbili hiyo hapo sasa ya Flora
Kwani mlokole hanaga "hamu" kwamba hatasex mpaka kufa? Kipi bora aolewe au asex kisirisiri alafu apande madhabahuni akuimbie uokoke? Huu mchezo hauna cha mlokole wala mpagani, mchungaji wala shehe ndo maana unawekewa masharti na mipaka ili uwe na kiasi kuepusha madhara.huyu dada kama sio mlokole
Tunamdhihaki Mungu. Hivi Flora kaamua kuwa mzinzi wa waziwazi na anaalika watu washuhudie usharati wake. Mume Wa ujana wake Yuko wapi? Je bado nyimbo zake zitakuwa Na ujumbe wa injili? Akaimbe kwasakwasa!!! Hivi mzeee Ndiyooooo!!!!!! Angekuwepo angekubali kuona uozo huuuuuu????
sasa mzinzi ni nani?Unamjua mume wa ujana wake?
Unaijua sheria ya ndoa ya Ukristo inabatilika kwa mambo yapi?
Acha kuhukumu bila kujua sheria. Soma Biblia uje na mstari unaohalaisha ndoa hata katika "UASHERATI".
Acheni kufuata mikumbo ya kuhukumu watu huku sheria mnazolazimisha kuzitumia hamzijui. Tafuta hio andiko uje nalo hapa, ndipo uhukumu kwa upepo.
sasa mzinzi ni nani?
je ni nani anaacha? nani anaachwa?
talaka ni kwa sababu ya mioyo migumu!
3 Basi Mafarisayo wakamwendea, wakamjaribu, wakimwambia, Je! Ni halali mtu kumwacha mkewe kwa kila sababu?
4 Akajibu, akawaambia, Hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mtu mume na mtu mke,
5 akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?
6 Hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe.
7 Wakamwambia, Jinsi gani basi Musa aliamuru kumpa hati ya talaka, na kumwacha?
8 Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.
9 Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
10 Wanafunzi wake wakamwambia, Mambo ya mtu na mkewe yakiwa hivyo, haifai kuoa.
Yaan! Mie nilijua atakuwa anaimba bongo flevaNikajua ameacha kuimba.
Hakuna ndoa za Kikristo za Mara mbili mbili.
Lakini mkuu usishangae wachungaji wa sasa wakihakikishiwa siku hiyo watakuwa na wahudhuriaji wangapi na kama ni wengi. Lazima Mchungaji ataifunga lengo sadaka wahakikishiwe.Mie nafikiri watafunga ndoa ya serikali, haiwezekani hawa watu kufunga ndoa ya kanisa tena kwa mujibu wa bible.
Af we nae siku hizi umekuwa bashite sijui!bado anaimba gospel tu?, shame on her!!