Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Huyo Mama ni mzuri siyo mchezo. Obama lazima kaptula ilituna.
sooo natural i see!hadi raha
Boys will be boys......................
Nani kanuna?
Aisee, picha ushahidi mbaya sana. Ila michelle hawezi kuumia coz hata yeye anaflirt nae zaidi. Tatizo la kina wasirra wanaflirt na kina shyrose bhanji afu wakirudi home sura ya kazi.
Huyo mchina sijui mkorea ametulia!! .... Halafu yeye ndiyo anamrushia K prezidaa.
Yaani ni mzuri mara 10 shinda mama Obama. Sitoshangaa kama Obama alichapa kidizaini. Tusubirie tu tuone kama tumbo litakua baada ya muda maana kina mama hawanaga siri. Wanafanya vitu gizani baada ya muda tumbo hilo.
Shida ya wabongo ni ufikiria uzinzi saa zote. Wakati Obama anafanya hicho mnachoshangilia lile rundo la walinzi na wapambe wake linakuwa lipo wapi?
Au mnafikiri naye ni kilaza tu ambaye anaweza kutoweka masaa mawili watu wasijue yupo wapi?
Huyo Mama ni mzuri siyo mchezo. Obama lazima kaptula ilituna.
kwani wote hawatumii condom kama wewe?Yaani ni mzuri mara 10 shinda mama Obama. Sitoshangaa kama Obama alichapa kidizaini. Tusubirie tu tuone kama tumbo litakua baada ya muda maana kina mama hawanaga siri. Wanafanya vitu gizani baada ya muda tumbo hilo.
Sijakusoma bado