Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,226
Last edited by a moderator:
Mbu. . . . now you know what not to do!!
Mbu hihihhhh thanks ''at own risk'' .. ila mimi simo kabisa..You've a soulmate thus don't flirt around🙂) Deal??!.... BelindaJacob, .....mnh,.....'kifua kipana!' ....nakweli mydear, at own risk. Ukishatamka maana yake inabadilika...
:bump::car::car::car::car::A S-omg:
Ila kaka akili yako huwa inakutosha mwenyewe, lol!:A S 465:
Hivi nikisema nimekumisi ni kuflirt? nisije nikamuudhi wifi, ngoja niseme nimemisi vitumbua vya kwenu
......kama alivyoandika BelindaJacob flirting is fun if you dont mean it...
Lakini je? Ni sahihi kumwambia mwenzako "am having fun, flirting with mbu,....i dnt mean anything harmful?"....
Ila kaka akili yako huwa inakutosha mwenyewe, lol!:A S 465:
Hivi nikisema nimekumisi ni kuflirt? nisije nikamuudhi wifi, ngoja niseme nimemisi vitumbua vya kwenu
... Hahahaha, nimeipenda sana hii.....ati?~ well, aheri ya nusu shari... King'asti....nimeupenda mwandiko wako wa JF....kha!
Ila King'asti uliposema "nimemis vitumbua vya kwenu" nilistuka kidogo!Lol!
NImechoka kuflirt na Kaizer jamani....hadi pm yangu immejaa sasa....).
Wifi mbona unakua mkorofi hivo? Huo wasi wasi uanze leo? C'mon sina wivu kiasi hicho hata kwa dadake...lol. Alafu hatajapika siku nyingi mpenzi. Labda weekend hii uje tukupikie... Kama kawaida karibu dearest.
NImechoka kuflirt na Kaizer jamani....hadi pm yangu immejaa sasa....
Sasa MwanajamiiOne huoni tofauti kati ya RR na RussianRoulette sio? Kama sio Mbu, ningeflirt na wewe...
Uzuri wa flirt inaweza kutumika kutongozea.......