@Smile bana.....posa kwenu ng'ombe wangapi kwani....RR wewe ni mume wa mtu?
@Smile bana.....posa kwenu ng'ombe wangapi kwani....RR wewe ni mume wa mtu?
AshaDii, ....wajua, kuna matendo mie mbu naweza yafanya au maneno naweza tamka watu wakadhani na flirt.
Kuepusha shari mie humwambia napenda kuangalia reactions za watu, but I dont mean anything malicious.
Ushauri nilopewa na BelindaJacob (ninaoutafakari kwa kina) ni kwamba nifanye "at my own risk"
...:eek2:
hakuna hata.... kondoo mmoja na blanket moja basi@Smile bana.....posa kwenu ng'ombe wangapi kwani....
Kuna babu yangu mmoja humu aliniambia....."usiichukulie seriasi JF" naanza kumuelewa alimaanisha nini.
mmmh. Huyo babu yako alikupa source? Hio qoute ya "Don't take JF too serious" ni ya Kaizer. Kama ni ODM hakutoa source inabidi alipie kuvunjwa kwa vigezo vya kutumia JF qoutes.... lol.
On a serious note; hio post imekufungua kitu gani Kbd hadi leo umeamini?
Smile nakufuatilia na hizo avatar zako unazoweka siku hizi ila ulianzia shingoni kurudi chini nasubiri itakaporudi juu ya shingo............jus keen!nataka niweke waume za watu kwenye ignore listi yangu...
sipendi dhambi mimi....
hakuna hata.... kondoo mmoja na blanket moja basi
Lizzy well....ulikataza kwani?Khaaaaaa. . ndio mmeamua kufanya kweli hapa hapa?
Hahahaa...shem bana...sasa tips za nini....me needs none!hapana shem.... ila nahisi nikikuta tu RR ndio nitakua na flirt. lol....
Hilo la ignore list nenda nalo taratiiiibu utafika. Know what she wants... Ukitaka tips uje home jioni mie nasepa...lol
wewe sio mfuatiliaji mzuri cause huko unakosubiri nilishatokasmile nakufuatilia na hizo avatar zako unazoweka siku hizi ila ulianzia shingoni kurudi chini nasubiri itakaporudi juu ya shingo............jus keen!
Dah! would you do it for the sake of wafuatiliaji wabovu kama mimi?wewe sio mfuatiliaji mzuri cause huko unakosubiri nilishatoka
mmmh mwaka kesho tenadah! Would you do it for the sake of wafuatiliaji wabovu kama mimi?
Kama uchaguzi! Mpaka mbunge afe ndio ufanyike mwingine!mmmh mwaka kesho tena