Quotation zenyewe za kishamba hivyo?
more than geniusHahahahaha, hapo sasa! Mi simo, ngoja nipotee...
Hivi mimi na Saint Ivuga tuna flirt au tunatania?
Babu akimwita mjukuu wake kama mchumba wake
Nambie, ni flirting au ni utani wa babu na mjukuu?
Maana nahisi utani wangu na Ivuga ni more like that
It has no explicit sexual interest, like the flirts do...
..............Lol Hii sasa ni Flirt Mbu, usibishe!!....hapana, I dnt flirt at all.....ila navutiwa sana na jina la Kipipi.....utotoni 'pipi za kijiti' aka lollipop was my fav.... 😉
Kumbe hapa ni Kuflirt sio? Haya mjukuu hapo juu hebu ntafutie wa kuflirt nae hapa!
MwanajamiiOne mumeo Mbu kanipeperushia ndege wangu@RR SINA HATA WA Kuflirt nae tena jamani...kumbe hiyo familia yenu si watu wemaHahaha Babu haya mambo ya vijana utayaweza Babu yangu?
Nway hapa ni self service jichagulie isipokuwa angalia waliokwishawahiwa usijesababisha ngumi hapa na pia waexclude wajukuu zako wasijekumwagia ugoro Babu yangu....................
..............Lol Hii sasa ni Flirt Mbu, usibishe!!
MwanajamiiOne mumeo Mbu kanipeperushia ndege wangu@RR SINA HATA WA Kuflirt nae tena jamani...kumbe hiyo familia yenu si watu wema
MwanajamiiOne mumeo Mbu kanipeperushia ndege wangu@RR SINA HATA WA Kuflirt nae tena jamani...kumbe hiyo familia yenu si watu wema
@mwanajamiione mumeo Mbu kanipeperushia ndege wangu@RR SINA HATA WA Kuflirt nae tena jamani...kumbe hiyo familia yenu si watu wema
hujambo mendeo nasikia unaulizia bikra yangu....
umerudi my soul mate...:hat::hat:
amerudi RR wangu .... loh umemkuta wapi...ndo maana nakupenda sis najua wewe huwezi nidhuru.........Smiles jamani Soulmate wangu hawezikukutenda hivi ! Mbona alikuwa ndo anakuchombezea kwa RR Jamani? Sema tu RR kakimbia ushindani, mtoto mashallawh ! Sofa hilo si mchezo kaona mh! presha!
Ngoja nikushtulie arudi
aisee ...........hakunaga! dingriiz hiyo na ki topu, tena figa eiti ( aaa-tchooo!~ chafya)
....safari njema... 😉