Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,012
- 5,613
Nimeona kaniita, sasa nimejibu? (I loved it lakini. lol)Hahahaha. . .we Mwali acha ujanja. .
Nyie mnaitana mpaka kuoga sijui kuogeshana alafu unasema ham-flirt? That is pure flirting.
Babu na mjukuu ni utani, hata ile ya kijana/binti mkubwa na mtoto mdogo.
Can flirting go one way? au lazima iwe both ways?