Flirting. . .

Flirting. . .

....hakunaga! dingriiz hiyo na ki topu, tena figa eiti ( aaa-tchooo!~ chafya)

....safari njema... 😉

Kiongozi hebu kaa kando asee....na-assume huoni wala huoni...:israel:

amerudi RR wangu .... loh umemkuta wapi...ndo maana nakupenda sis najua wewe huwezi nidhuru...

Hebu kuja pande hizi Smile (and only Smile)....its important....u know!
 
Last edited by a moderator:
usjali my dear hakuna cha bill wala nini..... hata wewe naweza kukulipia.... hela kitu gani love hela karatasi tuuu
Hapo swity utakua umezidisha malovee.....:eek2::eek2:
 
hata mimi Mbu nilimtosa mwaka juzi huo huo ndo maana kelele mingi....

..............Naona mmeishiwa swaga za kuflirt khaa! hebu tuacheni msitusakame loh! Sie twawafagilia nyie mwatuumbua!

Hahahaha My Soulmate Mbu hebu njoo baba tupumzike barazani!
 
Last edited by a moderator:
..............Naona mmeishiwa swaga za kuflirt khaa! hebu tuacheni msitusakame loh! Sie twawafagilia nyie mwatuumbua!

Hahahaha My Soulmate Mbu hebu njoo baba tupumzike barazani!
@ mbu nimemuona kaja na Kipipi clinic hapa nimesikia Kipipi akimwambia ni ni ya miezi mitano sijui ni nini cha miezi mitano
 
Last edited by a moderator:
Mimi nimeipenda signature ya Smile....." Ingekua mtu kila anapozini anatoka kitundu wengine mngekua kama neti humu"

Sijui kwa hilo nitakuwa nime-flirt
 
Last edited by a moderator:
@ mbu nimemuona kaja na Kipipi clinic hapa nimesikia Kipipi akimwambia ni ni ya miezi mitano sijui ni nini cha miezi mitano

Ahahahahaahha Smile dah! Umeniweza kweli leo! Ndo unaniangamiza kwa makombora mazito kiasi hiki!!
Kipipi ni dadangu, so Mbu kamsindikiza shemejiye clinic. Si unajua tena mume wa Kipipi yuko kwenye msafara wa rais, Ethiopia
 
Last edited by a moderator:
Ahahahahaahha Smile dah! Umeniweza kweli leo! Ndo unaniangamiza kwa makombora mazito kiasi hiki!!
Kipipi ni dadangu, so Mbu kamsindikiza shemejiye clinic. Si unajua tena mume wa Kipipi yuko kwenye msafara wa rais, Ethiopia
mmmh mbona @ mbu alikuwa anadai kama ni miezi mitano si ya kwake maana miezi yeye ishapita miezi minane toka walipoonana ... sijui ni wapi ngoja niwapige chabo tena
 
Hahaha Babu haya mambo ya vijana utayaweza Babu yangu?
Nway hapa ni self service jichagulie isipokuwa angalia waliokwishawahiwa usijesababisha ngumi hapa na pia waexclude wajukuu zako wasijekumwagia ugoro Babu yangu....................
Kumbe eeh ngoja nicheki wa kuflirt nae, tatizo thread imesogea sana hata sijui nani ana nani ila atakae jitokeza hapa nnae siangalii kama kawaiwa au la!!
 
Kumbe eeh ngoja nicheki wa kuflirt nae, tatizo thread imesogea sana hata sijui nani ana nani ila atakae jitokeza hapa nnae siangalii kama kawaiwa au la!!
teh teh mafiga matatu......
 
Back
Top Bottom