Flirting. . .

Flirting. . .

mmmh mbona @ mbu alikuwa anadai kama ni miezi mitano si ya kwake maana miezi yeye ishapita miezi minane toka walipoonana ... sijui ni wapi ngoja niwapige chabo tena

Hahahahhaha................RR kakugandisha eh?!
 
..............Naona mmeishiwa swaga za kuflirt khaa! hebu tuacheni msitusakame loh! Sie twawafagilia nyie mwatuumbua!

Hahahaha My Soulmate Mbu hebu njoo baba tupumzike barazani!

....umeona ee...? hebu niwahi masjid mie, mida ishakaribia...
 
Last edited by a moderator:
.....aaaa-banaaa, mbona wa mwaga mtama kwa kuku wengi tena? Lol....

Sasa mkuu Mbu si unaona? ungestaafu mapema yasikukukuta.....
 
Last edited by a moderator:
Hommie Kimey kama vipi we sepa tu......hapa pako bize sana...!



Smile sio vema kumponza Kimey....ni ndugu yangu babe.....sipendi kichwa chake kiwe halali yangu!
kungwi wangu AshaDii kanifunda mafiga matatu muhimu eti... so Kimey naona anafaa kukusaidia
 
Last edited by a moderator:
Aisee!! sasa, Ngoja kwanza hommie.....! Ile Rule number 3 vp haiaaply hapa? yaani Sharing is caring na Kizuri kula na duguyo hommie!

Hahaa...hommie aseee.....hizi rules zina mipaka yake asee.....cheki na Kaizer atakuelekeza....

kungwi wangu AshaDii kanifunda mafiga matatu muhimu eti... so Kimey naona anafaa kukusaidia

Smile huhitaji mafiga kama una multiple.....mimi ni zaidi ya tatu....so forget about Kimey et al...
Usikaribishe milipuko...and i mean no harm.
 
Last edited by a moderator:
Hahaa...hommie aseee.....hizi rules zina mipaka yake asee.....cheki na Kaizer atakuelekeza....



Smile huhitaji mafiga kama una multiple.....mimi ni zaidi ya tatu....so forget about Kimey et al...
Usikaribishe milipuko...and i mean no harm.
mmmh Kimey yupo attractive sana aisee au nikuache wewe?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom