Mkuu achana na Faiza.Kichwa naamini ulikosea kidogo tu lakn Ujumbe na maudhui umeeleweka sana.Nasikia watu wako salama na wanaplan kuharibu ndege na kutupa majini kuudanganya umma kwamba ndege ilicrush. Laknk ndege haijacrush!!! Nachoweza kusema CIA wanajua wanachofanya. This will be revealed soon for those who have senses to sense.
Ukweli ni kuwa ndege haikupatikana. Na kututamanisha kwa kuanza na maneno "kupatikana kwa ndege..." Ni uongo dhahir shahir.
Ni punguani tu ataekataa hilo.
Kama kilichokosewa ni kichwa cha habari tu kwanini uiponde taarifa nzima? Kwani ungesema kichwa cha habari kimekosewa usingeeleweka? Kauli yako inakatisha tamaa. Hivi lengo la mleta mada lilikuwa ni kutudanganya au kutupa upande wa pili wa hili tukio? Atudanganye kwa manufaa yapi atakayoyapata? Huwa nakuheshimu sana Faiza Foxy ila katika hili hapana hujatumia busara, sijui nijifunze nini kutoka kwako.
Nyie ndio wale wale. Ni wapi nilipoiponda taarifa nzima? Kusoma hamuelewi basi hata picha hamuoni?
Wacha uongo.
Nyie ndio wale wale. Ni wapi nilipoiponda taarifa nzima? Kusoma hamuelewi basi hata picha hamuoni?
Wacha uongo.
Nashukuru FaizaFoxy kwa maoni juu ya kichwa cha andiko hili na hasa Moderator kwa kuchukua hatua.
Kwa wasomaji waliokwazwa kwa namna yoyote niwieni radhi. Kuna mitindo mingi ya uandishi wa habari, makala na vitabu. Nahamini wengi wenu mmepata kusoma fasihi au lugha katika ngazi mbalimbali. Haikuwa kusudio kuleta upotoshaji wa aina yoyote bali dhima kuu iliyokwenye andishi ni kuchokoza akili na kupata mitazamo mingine wakati tukiendelea kutafakari yaliyojili kwa ndege ile na abiria wake.
[SIZE=+1]"On October 31st 1999, Egypt Air Flight 990 bound for Cairo mysteriously, plunged into the Atlantic Ocean, about 60 miles south of the island of Nantucket,Massachusetts, killing all 217 people aboard.[/SIZE] [SIZE=+1]The Boeing 767-300ER exploded at 11,000 feet after 40 minutes of its take-off from Kennedy International Airport in New York. Controversy surrounds the crash to this day, but here is an interesting "series of events or "coincidences, according to crash investigators:[/SIZE] [SIZE=+1]1[/SIZE][SIZE=+1]. There were 34 generals of different ranks from the Egyptian Armed Forces on board the plane. Among them was a general who has a Doctorate in atomic sciences, and more than 20 pilots who successfully completed training in operating Apache helicopters that had been recently sold to Egypt. Also on board were other generals who successfully completed training in launching the famous American Patriot missiles. The training of all those generals lasted 3 years and cost Egypt $3 billion, which Egypt paid in full.[/SIZE]
[SIZE=+1]2[/SIZE][SIZE=+1]. Israel had vehemently denounced the training program of those generals upon their arrival in the US 3 years before, calling the training program "a threat to Israel,s security.[/SIZE]
jambo la nne na ambalo halijapewa kipaumbele na media nyingin hasa TV, ni kuwa katika ndege ile kulikuwa na abiria wasio wa kawaida, abiria hawa wa kipekee ni wahandisi 20, 12 kutoka taifa la Malaysia na 8 kutoka uchina. Hawa ni wataalam wa juu sana wa maswala yanayohusiana na nishati mbadala pamoja na teknolojia inayohusu mambo ya kiusalama. Wataalam hawa wanafanya kazi kule Austin, Texas kwenye kampuni inayoitwa Freescale.
Bonyeza Loss of employees on Malaysia flight a blow, U.S. chipmaker says | Reuters
Utaona kwa hapo neno usalama (defense) alijitokezi lakini ni kwa sababu mahususi, maswala ya usalama huwa hayawekwi wazi. Inawezekana kuna suala la ugunduzi mpya wa teknolojia ya usalama na yenye maslai makubwa walikuwanao. Kwa wenye kumbukumbu nzuri mwaka 1985 kuna wanataalam 17 wakijapan nao walikufa baada ya ndege yao kuanguka, jamaa hawa walikuwa na ugunduzi wa mfumo mpya wa kuendesha kompyuta (OS) uliokuwa mahiri zaidi ya ule wa Microsoft. Kawaida ugunduzi usajiliwa na muhusika kupata hatimiliki inayoitwa PATENT, asilimia zaidi ya 90% ya patent usajiliwa marekani au zinamilikiwa marekani. Ningeshauri wasomaji mfanye utafiti zaidi hapa, kunawezakuwa na mengi kwenye hili jambo
Hapo kwa hao wahandisi akili imeclick...ahsante mtoa hoja
Theory zimekuwa nyingi, sasa nangoja theory ya "aliens" na UFO zao kuhusika.
Huo ni mwanzo tuWanabodi,
Kwa vile mimi ni muumini wa "powers from within!,
Nimechanganyikiwa!.
Pasco.
[/COLOR]
Wanabodi,
Kwa vile mimi ni muumini wa "powers from within!, tukio la hii ndege kupotea na mpaka sasa hakuna taarifa yoyote, kunanifanya mimi ndio kwanza nzidi kuchanganyikiwa kabisa!, sio kwa sababu ni ndugu au jamaa ndani ya ndege hiyo!, no!, Ni kwa sababu tuliwaaminia sana watu wa Bara la Asia ndio wengi wenye dini za Hindu na Buddhism wanaojitapa na kutamba na psychic powers za kufanya kila kitu!Apportation - wangeweza kuivuta hiyo ndge popte ilipo na kuona!
Aura reading - Wangeweza kuziona hizo aura za waliokuwa abiria!
Astral projection or mental projection[
Nadhani wewe ndiye mjuzi wa hizo power kuliko yeyote yule humu ndani. sasa ukichanganyikiwa wewe itakuwaje kwa wengine?
Wanabodi,
Kwa vile mimi ni muumini wa "powers from within!, tukio la hii ndege kupotea na mpaka sasa hakuna taarifa yoyote, kunanifanya mimi ndio kwanza nzidi kuchanganyikiwa kabisa!, sio kwa sababu ni ndugu au jamaa ndani ya ndege hiyo!, no!, Ni kwa sababu tuliwaaminia sana watu wa Bara la Asia ndio wengi wenye dini za Hindu na Buddhism wanaojitapa na kutamba na psychic powers za kufanya kila kitu!Apportation - wangeweza kuivuta hiyo ndge popte ilipo na kuona!
Aura reading - Wangeweza kuziona hizo aura za waliokuwa abiria!
Astral projection or mental projection[
Nadhani wewe ndiye mjuzi wa hizo power kuliko yeyote yule humu ndani. sasa ukichanganyikiwa wewe itakuwaje kwa wengine?
Hapo sasa!...
Pasco