Chifunanga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 290
- 98
Hii ni story ya kutungwa.
Hakikutokea kitu kama hiki, hata walinzi waliokuwa zamu siku hiyo wanashangaa mtu anaweza kuandika uongo kama huu.
hii stori itanitia hasira kweli....kwa hiyo mi nimngependa kumuunga mkono kishongo na kuomba ushahidi wa hili jambo.....unataka kusema hakuna hata mmoja kati ya hao waliokuwa wamepigwa butwaa ambaye alipiga picha?.....tuone hata picha jamani. Isije ikawa mtu anatuandikia zakufikirika hapa....sisi tukajawa na jazba za kizushi.