Fisadi mbeba maboksi alimwa mvua 12 gerezani

Fisadi mbeba maboksi alimwa mvua 12 gerezani

Kaazi kwelikweli.....CCM oyeeeeee.....

IMG_1180.JPG
 
huwa nashangaa sana waafrika wanaowapigia kelele waafrika wenzao wakiwaibiia wazungu.. akili za kitumwa hizo...hivi mmesahau jinsi hiyo mizungu ilivyokuwa inakuja huku na kuchota dhahabu zetu na kuwapiga bakora babu zetu na kuwafanya watumwa?? mmesahau nyie vilaza?? mtu akiibia mzungu wala hata sitingishiki kumuuliza kwanini...mijizi mikubwa iliyopendezesha miji yao kwa utajiri wa babu zetu.
 
huwa nashangaa sana waafrika wanaowapigia kelele waafrika wenzao wakiwaibiia wazungu.. akili za kitumwa hizo...hivi mmesahau jinsi hiyo mizungu ilivyokuwa inakuja huku na kuchota dhahabu zetu na kuwapiga bakora babu zetu na kuwafanya watumwa?? mmesahau nyie vilaza?? mtu akiibia mzungu wala hata sitingishiki kumuuliza kwanini...mijizi mikubwa iliyopendezesha miji yao kwa utajiri wa babu zetu.

Wow! Just wow!!!!
 
Tatizo si kuiba, tatizo unaporuhusu ukamatwe..... Wao hawajakatwa.

huwa nashangaa sana waafrika wanaowapigia kelele waafrika wenzao wakiwaibiia wazungu.. akili za kitumwa hizo...hivi mmesahau jinsi hiyo mizungu ilivyokuwa inakuja huku na kuchota dhahabu zetu na kuwapiga bakora babu zetu na kuwafanya watumwa?? mmesahau nyie vilaza?? mtu akiibia mzungu wala hata sitingishiki kumuuliza kwanini...mijizi mikubwa iliyopendezesha miji yao kwa utajiri wa babu zetu.
 
Hakuna uwezekano wa kubadilishana wafungwa aje Keko ashkishwe adabu huyo Mbeba box mwenye tabia za kiCCM...
 
Tatizo si kuiba, tatizo unaporuhusu ukamatwe..... Wao hawajakatwa.

tatizo hatuna pa kulalamikia, tunawaabudu, hatuwezi kuwawajibisha, hilo tu, ila tunajua na tunafurahia wanavyotuibia, na tunawasaidia watuibie, ona hawa wanavyoona wenzao ni wakosaji, inashangaza...wameshakuwa brain washed....mzungu ni nani asimame kwangu azungumzie kuhusu integrity?? do they have it when it comes to race????
 
tatizo hatuna pa kulalamikia, tunawaabudu, hatuwezi kuwawajibisha, hilo tu, ila tunajua na tunafurahia wanavyotuibia, na tunawasaidia watuibie, ona hawa wanavyoona wenzao ni wakosaji, inashangaza...wameshakuwa brain washed....mzungu ni nani asimame kwangu azungumzie kuhusu integrity?? do they have it when it comes to race????

walivyowapiga hao wazungu basi hao jamaaa wangetokaaaa nduki huko kurudi hime.syo mpaka wadakwe
wao hata wakitupiga hatuwashiki.....sema inaonekanawabongo wenzao wana uchungu nao kwa sababu ya kuwatanulia na kuwachapiaaaa madem zao...naona hasira ndiyo hizo kwikwikwikwi
 
Wee kweli ni MNYONGE. Yaani hadi unatia huruma, khaaa!!!!!

Mchina pia alikuwa hana pa kulalamika. Brazil pia alikuwa hana pa kulalamika.

Ila sasa hivi wameshawapita UK na USA kiuchumi. Sasa ukiona RSA kuna akina ZUMA na Ufisadi wao, mhhhhh!!

tatizo hatuna pa kulalamikia, tunawaabudu, hatuwezi kuwawajibisha, hilo tu, ila tunajua na tunafurahia wanavyotuibia, na tunawasaidia watuibie, ona hawa wanavyoona wenzao ni wakosaji, inashangaza...wameshakuwa brain washed....mzungu ni nani asimame kwangu azungumzie kuhusu integrity?? do they have it when it comes to race????
 
walivyowapiga hao wazungu basi hao jamaaa wangetokaaaa nduki huko kurudi hime.syo mpaka wadakwe
wao hata wakitupiga hatuwashiki.....sema inaonekanawabongo wenzao wana uchungu nao kwa sababu ya kuwatanulia na kuwachapiaaaa madem zao...naona hasira ndiyo hizo kwikwikwikwi

wezi tu hao wametuibia sana, wana magorofa sisi tuna nyumba za nyasi, bado tu tunawachekea
 
huwa nashangaa sana waafrika wanaowapigia kelele waafrika wenzao wakiwaibiia wazungu.. akili za kitumwa hizo...hivi mmesahau jinsi hiyo mizungu ilivyokuwa inakuja huku na kuchota dhahabu zetu na kuwapiga bakora babu zetu na kuwafanya watumwa?? mmesahau nyie vilaza?? mtu akiibia mzungu wala hata sitingishiki kumuuliza kwanini...mijizi mikubwa iliyopendezesha miji yao kwa utajiri wa babu zetu.

Daah.. Hebu mkuu nipe elimu kidogo hapa.. Hapa Tanzania sie tuliibiwa nini na hawa wazungu kiasi leo New York ikawa vile ilivyo..? Au mali ambayo waliichuma wamarekani kiasi ikawafanya kuwa taifa lenye uchumi namba moja duniani..?
 
Wee kweli ni MNYONGE. Yaani hadi unatia huruma, khaaa!!!!!

Mchina pia alikuwa hana pa kulalamika. Brazil pia alikuwa hana pa kulalamika.

Ila sasa hivi wameshawapita UK na USA kiuchumi. Sasa ukiona RSA kuna akina ZUMA na Ufisadi wao, mhhhhh!!

hao wote wameumbiwa umoja na kujiamini , sisi waafrika ndio tunaongza kwa tabia za kike, kusemana na kutengana, kutafutiana makosa na kuwatukuza wazungu..ushawahi ona juzungu likifungwa kwa kufisadi weusi, ushawahi ona?? umeona kilichotokea hivi majuzi kwa obama despite rais ni asili ya weusi lakini bado waafrika wanauwawa na hakuna kilichotokea?? umeona walichomfanyia mugabe????? umeona walichomfanyia gadafi???? hawa watu hawatupendi hata siku moja??? hakuna haja ya kuwaona huruma. anayemwibia mzungu, huwa nachukulia kama anarudisha nyumbani vilivyochukuliwa toka kwa babu zetu, tuna haki navyo,
 
Back
Top Bottom