Wakuu wa jukwaa,
Leo nimekumbuka pendo langu la kwanza kabisa tokea nilipofikia umri wa kupractice mapenzi. Niseme ukweli lilikua tam.Nilimpenda sana yule msichana, alikua mrembo, alikua mtiifu, mpole. Very ndo jina lake kwa kifupi. Mnene mnene kidogo, mrefu kiasi cha kawaida kwa mwanamke.
Nilfurahi kuafall in love, nilijifunza mengi kwani ndio ilikua mara ya kwanza kupenda. pamoja na kua ndo nilikua form 2, eti iliwaza kuoa! Teh teh! kweli nilibambwa. Anyway siwezi kuelezea sana manake me sio mwandishi mzuri, ila leo nimemkumbuka VERYNICE wangu.
maskini, tulipotezana baada ya yeye kuhama nchi na kwenda nairobi kusoma, kwa kua hatukua na sim kipindi kile tukapotezana kabisa hata kimawasiliano. ukweli ni kua sikupenda tena mtu hadi nilipofika chuo kikuuu mwaka wa kwanza.hapa nilipenda tena kwa mara nyingine tena siriasly, lakini kwa bahati mbaya sikufanikiwa kulipata penzi nililoangukia.
Kwa hyo kama ni kua ktika mapenzi nimewahi kua mara 2tu, lakini kama nikufurahia mapenzi (sizungumzii ngono hapa) nimewahi kufurahiamara mojatu.
Hivi wewe first love yako, ipo?ipo wapi?? vipi status yako na yeye?
Asanteni.
Leo nimekumbuka pendo langu la kwanza kabisa tokea nilipofikia umri wa kupractice mapenzi. Niseme ukweli lilikua tam.Nilimpenda sana yule msichana, alikua mrembo, alikua mtiifu, mpole. Very ndo jina lake kwa kifupi. Mnene mnene kidogo, mrefu kiasi cha kawaida kwa mwanamke.
Nilfurahi kuafall in love, nilijifunza mengi kwani ndio ilikua mara ya kwanza kupenda. pamoja na kua ndo nilikua form 2, eti iliwaza kuoa! Teh teh! kweli nilibambwa. Anyway siwezi kuelezea sana manake me sio mwandishi mzuri, ila leo nimemkumbuka VERYNICE wangu.
maskini, tulipotezana baada ya yeye kuhama nchi na kwenda nairobi kusoma, kwa kua hatukua na sim kipindi kile tukapotezana kabisa hata kimawasiliano. ukweli ni kua sikupenda tena mtu hadi nilipofika chuo kikuuu mwaka wa kwanza.hapa nilipenda tena kwa mara nyingine tena siriasly, lakini kwa bahati mbaya sikufanikiwa kulipata penzi nililoangukia.
Kwa hyo kama ni kua ktika mapenzi nimewahi kua mara 2tu, lakini kama nikufurahia mapenzi (sizungumzii ngono hapa) nimewahi kufurahiamara mojatu.
Hivi wewe first love yako, ipo?ipo wapi?? vipi status yako na yeye?
Asanteni.