First love. I miss you baby

Mimi nilishwahi kupenda, nikaoneshwa kwamba napendwa, baada ya muda nikatendwa..
Nikajitahidi kusahau lakini moyoni mwangu bado nahisi kupenda, sasa nimerudiwa tena eti bado ninapendwa, ingawa bado napenda lakini moyo wangu unasita na siamini kama napendwa kweli au kuna jambo nyuma ya pazia. Kwa kifupi niko njia panda, i hate this feeling!

Funguka...............anayerudi mara nyingi kajifunza.
 
Funguka...............anayerudi mara nyingi kajifunza.

Si lazima iwe hivyo ndugu.......!! Anaweza awe amejifunza mbinu nyingi za kuwa na wewe, i mean kwa manufaa yake hapendi kukupoteza na bado akawa na wengine pembeni!!! Sijui umenielewa hapo?? Kwamba kajigundua awali alikuja mzima mzima kiasi akicheat utamgundua haraka so akija mara ya pili ndugu yangu anakuja kivingine na mipaka mingiiiii!!! Utaumia zaidi!!!

N` way, wengine inawezekana kweli wamejifunza lakini kumbuka hatakuwa na tabia ile uliyoizoea na ulizomjengea awali, jiandae kukabiliana na tabia mpya atakazozizoa kutoka hukoo alikokuwa!!!
 
Binafsi nimeanza haya mambo since primary school STD V, but it was under influence (c unajua tena mobsaikoloji) at ths age (I was 12 yrs) nliwaogopa sana waschana, bt nilijkaza sana kuwaaproach ili wenzangu wasinione zoba (walikuwa na tbia ya kuwatania sana watu wa aina hii). Ajabu kpind hcho waschana walinishobokea sana tofauti na sasa, na hata niliofanikiwa kwenda nao for sex (japo kwa shingo upande na wengi walikuwa wa kuletewa getto) sikuwafanya lolote zaid ya kuwagusagusa tu! huku moyon nimejawa hofu. Serious relation (yaan ile ya ki-utu uzima zaid) nilikuwa form2. She was YASINTA, Yes, nilimpenda bt alikuwa na mapenz ya kishamba!!! Nikaachana nae, Ameshaolewa. Wengine kadhaa walifuata ktkt (si wengi sana, ni kama wawili2 kutoka kwa Yasinta, excluding her) mpaka huyu nilie nae sasa. Huyu ndo nimetokea kumpenda kt ya wote niliopitia. Sitaki mmjue, maana mh! Nahc mtamgoogle.
 
daaah wewe jamaa umenikumbusha mtoto mariam ebwana eeeh. yani nilikuwa form one nami ka wewe eti nikawa nawazza kuoa aisee ilikuwa ajabu kweli. lakini nami ka wewe akahama na ndo ukawa mwisho wetu. uwa nikifikiria natokwa na machozi
weeeeh,.wanikumbusha mtoto sarah, she was so sweet, she could drive me to climax without sex,.she was my heart in human form,.but everythin changed when i left kampala
 
love is a game, the winner takes it all!
love is not the game asee!
no one is strong when it comes to true love.
ni kuatu mara nyingi utakuta mtu anapendwa ila hapendi na vaisvesa,
kwa hyo mtu anachukulia advantage ya yeye kupendwa kumnyanyasa anaempenda.
 
weeeeh,.wanikumbusha mtoto sarah, she was so sweet, she could drive me to climax without sex,.she was my heart in human form,.but everythin changed when i left kampala
haa! we sarah, kabla ya vere nilikua na sara, ila sara ilikua ni ile kitotototo sana ndo maana sijamchukulia kama wa kwanza, manake very alikua ni wa kwanza nikiwa nshabalehe ila sara nilikuatu nampenda.
Ilikua ni mwanzo sana wa darasa la tatu, hata kalam ya wino sikua nimejua kuandikia vizuri bado ilikua inateleza kwene karatasi.
Nikamwandikia barua.chaajabu sara aliipeleka kwa mwalim.Nilikula virula vingi sana vya vidole mikononi.
sa hivi kaolewa na nadhani ana m/watoto mana ni mda.
me ndo kwanza nipo JF naandika stori yake!
mh!
 
GOOD MORING FIRST LOVE!
KISSES MWAAAAAAAAH
ngoja nikakuandalie lunch mwayego we endelea kukagua kazi za watoto za shule!
 
My first love,H,he was my everything!Japo naolewa sijui kama ntamsahau.
Noboby will make me feel the way he did make me feel.
 
MARIA KABEHO(mahali kapuni) ndiye niliyempenda kwa kiwango cha ajabu tena enzi ya primary japo hatukufanya lolote lakini amebakia kichwani muda wote,walimuwowa baada tu ya LY.nice kufurahia mahusiano si lazima kudo.
Mana nilikuwa najisikia faraja sana hata kuongea nae tu.
 
My first love,H,he was my everything!Japo naolewa sijui kama ntamsahau.
Noboby will make me feel the way he did make me feel.

Dah,haki ya nani hapa ndo nasema haitawezekana eti watu wasizini.
Pole sana,siku akija unampa kukumbushia.
 
aisee nimekumbuka totoz langu la mbezi makonde, totoz tinya tinya , zuri balaa, nakukumbuka kila siku beibe, na mimi naoa sasa ila najua upendo wako kwangu na wangu kwako bado ni wa viwango vya juu, i was the one who did let u go but najua kamwe hatuwezi kusahauliana..
 
Dah! We jamaa umenikumbusha mtoto Juliana aiseeee!!! Ndiye alinitoa tongotongo kuhusu mapenzi na mie ndie nilkata utepe mwanawani si mchezo acha za siku hizi za Kichina hata damu huioni!!!!

Pili, nikiwa nimeanza kazi baada ya kutoka chuo nilifall kwa binti mmoja hivi (jina kapuni), nilimpenda vibaya!!! Nikatangaza ndoa kumbe mwenzangu ananing`ong`a aiseee sitakaa nisahau. Nikampeleka home wakamtambua na home wakaanza kujipanga kwenda kwao kutoa posa, ndo hapo binti alianza mauza uza. Mara hivi mara vile, wasiende kwanza mi bado mdogo, mila za kwetu mpaka dada yangu aolewe kwanza na visa kibaooo!! Nilikoma aliponionyesha live ana mwanaume mwingine, sikutaka mapambano ila nilimfata mbele ya jamaa yake na kumuuliza nini msimamo wake akanijibu 'sikutaki' tena kwa jeuri kubwa!! Mzee nikasepa, nililia sana chumbani kwangu siku hiyo sitasahau ila baada ya hapo machungu yakaisha na maisha yakasonga.

Baada ya miaka mitatu alifanyiwa na mwanaume kama alivyonifanyia mimi, yaani jamaa lilijidai linamuoa likatoa mpaka mahari halafu likaoa demu mwingine ghafla!! Alidata serious, baada ya hapo akaanza kunitafuta nimsamehe ili turudiane keshajifunza na kutuma mpaka ndugu zake kwangu. Unajua ni nini? Sikuwa na mpango wa kuoa wakati huo, ila niliamua kuoa haraka haraka tena ndoa ya kifahari mbaya!!! Mpaka leo anajaribu kuivunja ndoa yangu aingie yeye coz anadai haoni mwanaume mwingine zaidi yangu ila kachemsha!!! Maisha yanamuona vibaya, umri unasonga, kazi hakuna, yaani anatia huruma but aliyataka nimsaidieje sasa???

Hayo ndo maisha ya mapenzi tunayopitia mpaka kufikia kutulia

stori yako ina resemble sana na yaliyonokuta ktk maisha yangu ya mahusiano, mapenz yanaumiza, yanaliza, yanatese lakini mwisho wa siku lazima maisha yaendelee, na nmshukuru Mungu maisha yanaendelea vizur bila ............... though nilimpenda sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom