hawa walimu inabidi tuwape za uso mana wamezidi! Kila siku kulalamika lalamika hawachukui hatua yoyote, wanategemea huruma ya mama Salma! Kila mtu aipiganie nafsi yake waige mfano kwa Madaktari.
Mbona anapokujaga huko mashuleni kumuuzia mumewe sera hamumpagi vidonge vyake!? Kazi yenu ni kufunga watoto"wanafunzi"vibwebwe na kuwaambia wamwimbie nyimbo za kumpongeza! Nyie walimu nyie kinachowatesa ni uoga na unafiki.
nakumbuka kabla jk hajawa jk, mama chalma alikuwa mwalimu pale sinza. Kila mwisha wa mwezi,tulipigana vikumbo wilayani kugombea mishahara. Najua kabisa, hali ile hakuipenda, maana ni hatari kwa walimu na ulikuwa ni usumbufu mno. Wakati mwingine walikuwa wanasota kwa masaa kibao, ikibidi kurudi siku ya pili hadi ya tatu kabla hawajapata mishahara yao
sasa mama umekuwa first lady kwa miaka 7, umefanya nini kuwasaidia walimu wenzako? Je unafahamu vijijini wapo walimu hawajalipwa kwa miezi kadhaa? Chondechonde mama yetu, tufikishie ujumbe kwa baba, ikiwezekana siku yake ya kuzaliwa mpelekee sinia tupu bila ya keki.
Baba akiuliza nini hii tena,
mwambie "imepita zaidi ya miezi miwili, sijalipwa mshahara wangu?
Baba akiuliza mshahara gani?
Mama tafadhali mjibu, mimi ni mwalimu, umesahau?
Baba riz anaweza kuelewa somo, na kutoa msaada kwa walimu wetu
Nakumbuka kabla jk hajawa JK, Mama Chalma alikuwa mwalimu pale sinza. Kila mwisha wa mwezi,tulipigana vikumbo wilayani kugombea mishahara. Najua kabisa, hali ile hakuipenda, maana ni hatari kwa walimu na ulikuwa ni usumbufu mno. Wakati mwingine walikuwa wanasota kwa masaa kibao, ikibidi kurudi siku ya pili hadi ya tatu kabla hawajapata mishahara yao
Sasa Mama umekuwa First Lady kwa miaka 7, umefanya nini kuwasaidia walimu wenzako? Je unafahamu vijijini wapo walimu hawajalipwa kwa miezi kadhaa? Chondechonde mama yetu, tufikishie ujumbe kwa baba, ikiwezekana siku yake ya kuzaliwa mpelekee sinia tupu bila ya keki.
Baba akiuliza nini hii tena,
mwambie "IMEPITA ZAIDI YA MIEZI MIWILI, SIJALIPWA MSHAHARA WANGU?
Baba akiuliza mshahara gani?
Mama tafadhali mjibu, Mimi ni mwalimu, umesahau?
Baba Riz anaweza kuelewa somo, na kutoa msaada kwa walimu wetu
walimu mpaka mtakapo badilika ndiyo mtafaidi haki yenu kwa kuendelea kumchekea nyani (CCM) mtaendelea kuvuna mabua! Uchaguzi ukifika mnasema zimwi likujualo sasa cha moto mnakiona!
Mbona anapokujaga huko mashuleni kumuuzia mumewe sera hamumpagi vidonge vyake!? Kazi yenu ni kufunga watoto"wanafunzi"vibwebwe na kuwaambia wamwimbie nyimbo za kumpongeza! Nyie walimu nyie kinachowatesa ni uoga na unafiki.
Alivyo na mzaha hata kwenye mambo ya msingi mbona atakenua Kama miss Tanzania tuu
Woga na unafiki una sababu. Wanauma na kupuliza kwa sababu wengi hawana sifa za kuwa walimu in the first place. Wakikazania kuuliza mshahara watadaiwa kupeleka vyeti! Wengi wao ni aibu tupu. "Usile na kipofu ukamkamata mkono" Serikali ni kipofu, hawataki kuishika mkono.
Walimu ni Pumbavu sana Maana kama nafasi Miaka mitano kabla ya Uchaguzi Mkuu wanapewa shavu la ajabu sana nalo ni Kusimamia Uchaguzi je Mmeweza kuthubutu au ndo Mnakumbuka Shuka Saa Mbili asubuhi.
Kudadadeki zenu Walimu! Mimi naona sawa tu kwani sijaona watu Mazoba kama ninyi maana Akili zenu ni kama Mzee aliyetaka kurudi ujanani wakati ana Miaka 150.
Kweli ninyi ni Wajinga wa Mwisho Kudadadeki, maana ninyi kama ni Pumbavu basi Miaka Mitano ikiisha fanyeni tena Upumbavu wenu kwenye Masanduku ya Kura!
Kudadadeki zenu! Makalio yenu kama ya Lusinde ninyi walimu! Kudadadeki.
Mween, Unataka walimu wawe na vyeti vya aina gani ili uwatambue? Mimi ni mwalimu na kwa sasa ninafanya masomo ya shahada ya uzamili. Kuna wenye PhD pia. Tatizo siyo vyeti Mween, tatizo ni mfumo!
Naomba ndugu unapotoa comment humu uwe umefanya uchambuzi yakinifuWoga na unafiki una sababu. Wanauma na kupuliza kwa sababu wengi hawana sifa za kuwa walimu in the first place. Wakikazania kuuliza mshahara watadaiwa kupeleka vyeti! Wengi wao ni aibu tupu. "Usile na kipofu ukamkamata mkono" Serikali ni kipofu, hawataki kuishika mkono.