First Lady- 2016

First Lady- 2016

mnajivunia goli la mkono hamna lolote.....mxiiiuuuuuu

Bi mkubwa nakumbuka ulinieleza hapa kuwa wewe na familia yako mtawapigia kura hao hao jamaa wa goli mkono...

Iweje tena unawazodoa...?
 
She looked frightened holding a chick while EL was speakin, as her husbads future is so uncertain.
She knows that he cnt make it.

SJUI ANAMSHAURI NINI??
 
Watu mnapenda kuota mchana kweupe....

Hatuwezi kuongozwa na chama kinachofuata matakwa ya baba mkwe na mkwe wake.
Hao watabaki kuwa wapinzan milele.

El hawezi kuja kuongoza nchi yoyote hapa dunian labda atakuja kuongoza huko kuzim

Mgombea wenu katia huruma kweli utadhani anaenda kuchukua fomu ya kugombea udiwani
 
kijana mm sina chuki ila naongea ukweli ambao upo.
Ila nyinyi nawaona wengi mnaongelea kiushabiki na sio ukweli uliopo

Ukishaongelea mambo ya siasa weka suala la UKWELI mbali mkuu. Siasa ni zaidi ya biashara ya ukahaba!
Nafikiri Zitto aliiweka vizuri sana aliposema "usimwamini mwanasiasa yeyote......" akiwemo yeye mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
Si yeye si Lowasa hawana muonekano.

Hao hata wafanye nini Ikulu wataenda kama wageni waalikwa tu.

Wanaliwa pesa zao na wachagga.

Sasa naamini Mmasai na Mmeru yeyote hana ujanja kwa Mchagga.
 
huyo ndo first lady kama hupendi kale ndimu.
 
Unataka awe na roho nzuri ikusaidie nini wewe? Umekosa la kusema kalale
 
ansee! Ansee! Ndumyana magufuli atatufikisha mbali sana,, lakn huyo babamkwe wenu na mkwe wake wapiga dili hao ni wa kuogopwa..

Hvi hamjiulizi tu? Mtu anatumia mabilion yake kuwanunua watu hadi chama ili aende ikulu hamjiulizi kuna nn hasa?

Hatuwezi kumruhusu mtu wa aina hyo ashike nchi
nguti mmanyafu ghweehhh......yaani unataka tuendelee kuongozwa na wanafiki kama kikwete wanajifanya maarosto wanatoka madarakani wameshakuwa mabilionea,nasisi hatu wapi ccm tena nchi yetu
 
Si yeye si Lowasa hawana muonekano.

Hao hata wafanye nini Ikulu wataenda kama wageni waalikwa tu.

Wanaliwa pesa zao na wachagga.

Sasa naamini Mmasai na Mmeru yeyote hana ujanja kwa Mchagga.

Usicheze na CHAGADEMA. Hapendwi mtu ila pochi yako, chezea bilioni 12 wewe? Slaa mzee wa watu hana hamu na hiyo SACCOS ya Mtei.
 
Back
Top Bottom